Exclusive... HADHARA Fundi wa danadana anayeteseka kwa maradhi
UMAARUFU sio utajiri na hakuna uhusiano kabisa, ukitaka kuamini hilo aliyekua Rais wa Uruguay, Jose Mujica alijulikana kama rais maskini zaidi duniani, licha ya kushika nyadhifa za juu za uongozi.