Mlandizi Queens imekuja kuwashika! MLANDIZI Queens ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia kubwa nchini mbali ya Simba Queens na Yanga Princess, ikiwa imeshatwaa ubingwa wa Tanzania msimu wa 2016/17 na kutoa...
KIJIWENI: Mastaa wa Morocco na rekodi za kusisimua kimataifa MOROCCO kwa sasa inakamilisha maandalizi ya fainali za 35 za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika kuanzia Jumamosi ya Januari 5-26, mwakani.
PRIME Huu ndiyo ukweli wa jina Debora KWA sasa katika Ligi Kuu Bara, moja ya majina yanayoimbwa sana ni Debora Fernandes Mavambo, huku jina hilo likiacha maswali kwa mashabiki wa soka.
KINAPIGWA TENA: Ni wikiendi ya KO ya Mama Dar UHONDO wa ngumi unaweza ukadhani umesimama. Hapana. Licha ya sasa kutokuonyeshwa kwenye runinga kama awali baada ya Kampuni ya Azam Media kujitoa, lakini huko kitaa kinapigwa haswa.
Fatuma: Yote haya sababu ya Kaseja NI nadra kuona makocha wa makipa wa kike katika timu za wanaume ila kwa Tanzania tumebarikiwa kumuona, Fatuma Omary wa JKT Tanzania anayetimiza vyema majukumu yake uwanjani, huku...
Kikapu taifa kuunguruma Dodoma Shirikisho la Kikapu Tanzania (TBF) limesema timu 16 zinatarajia kushiriki katika mashindano ya Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL) kuanzia Novemba, mwaka huu katika viwanja vya Chinangali mjini...
Prisons yafufuka Ligi Kuu ikiizima Fountain Gate Baada ya kusota katika mechi tano mfululizo bila ya ushindi, hatimaye Tanzania Prisons imeona mwezi kwa kuonja pointi tatu za kwanza kwa kuikanda Fountain Gate mabao 3-2.
Kaya atua Singida Black Stars UONGOZI wa Singida Black Stars umemalizana na aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Namungo, Omar Kaya ambaye amejiunga na timu hiyo kuongeza nguvu katika uongozi akipewa nafasi ya makamu mwenyekiti.
PRIME Ateba: Siri ya Simba ni hii tu Simba SC imeanza msimu wa 2024/2025 kwa kishindo ikilinganishwa na msimu uliopita, ikiwa imecheza mechi sita na kuonyesha kiwango bora licha ya kuwa na wachezaji wapya 14 kwenye kikosi chao. ...
Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya...