PRIME MZEE WA FACT: Treni inavyookoa timu za Tabora Tabora United, warina asali kutoka mjini Tabora, wamefanya lile ambacho wengi wameshindwa kukifanya katika soka la nyumbani, kwa takribani miaka mitano sasa.
Mwambusi aliyebeba hatma ya Wagosi LIGI Kuu Bara kwa sasa imesimama kwa muda wa kama wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku zikiwa zimeshachezwa jumla ya mechi 81 na kufungwa mabao 164.
SIO ZENGWE: Hamasa ya Stars imepotea na thamani yake WAKATI Mbrazili Marcio Maximo akiwa kocha wa Tanzania, kulikuwa na hamasa kubwa kutoka kwa wananchi kwa timu yao ya taifa ya soka baada ya miaka mingi ya kutothaminiwa.
PRIME Simba, Yanga lolote litatokea VIKOSI vya Simba na Yanga zilizotinga hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa sasa viko katika mawindo kwa michezo ya awali ya hatua hiyo itakayopigwa...
Chama la Mtanzania laitandika Mamelodi CAF CHAMA la Mtanzania, Hasnath Ubamba anayekipiga FC Macar ya Misri limeichapa Mamelodi Sundown Ladies bao 1-0 mchezo wa kwanza wa makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Fadlu aanza kupitia faili la Waangola KIKOSI cha Simba kinaingia kambini kuendelea na mazoezi kujiandaa na mechi za kimataifa kwa wachezaji ambao hawakuitwa katika timu za taifa, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akiweka wazi...
Tanzania yatota Uganda ligi ya dunia T50 MAMBO ni magumu kwa Tanzania katika ligi ya dunia kwa Kriketi ya mizunguko 50 baada ya kipigo kikubwa cha mikimbio 209 kutoka kwa wenyeji Uganda, katika Uwanja wa Lugogo, jijini Kampala...
Mtengwa aeleza ushindani Uganda KINDA la zamani la Yanga U-20, Isack Mtengwa amesema licha ya kucheza kwa mkopo Wakiso Giants ya Uganda lakini wanapata uzoefu wa kimataifa.
Warundi wamo, sasa ni nchi tano Guru Nanak DEREVA kutoka Burundi, Imtiaz Din na msoma ramani wake Allen Rukundo ndiyo ingizo jipya katika mbio za magari za Guru Nanak zitakazofanyika Arusha Novemba 16 na 17 mwaka huu.
Masaka aumia, Brighton hoi NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Aisha Masaka anayekipiga Brighton ya Ligi kuu ya Wanawake England, amepata majeraha ya bega yaliyomlazimu kutolewa uwanjani kwenye mchezo dhidi ya Arsenal wa...