Serengeti Girls yatinga Kombe la Dunia Serengeti ilipata ushindi wa bao 1-0 jana, lililowekwa kimiani na Neema Paul kwa kichwa dakika ya 50 akiunganisha mpira wa kona uliochongwa na Veronica Mapunda, huku katika mechi ya awali...
PRIME Nabi apewa saa 48 Kaizer Chiefs ALIYEKUWA kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema ndani ya saa 48 mustakabali wake na Kaizer Chiefs utakuwa umejulikana. Nabi aliachana na Yanga baada ya kumalizika kwa msimu uliopita akiwa...
Fei Toto: Narudi Zanzibar kupumzisha akili, nitarudi Muda mchache baada ya kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' kusaini mkataba kuitumikia Azam msimu ujao, tayari ameanza safari kurudi kwao Zanzibar. Fei Toto amesema anarudi Zanzibar kwa wiki moja...
Mpepo matumaini kibao Zambia MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Eliuter Mpepo ambaye amejiunga na Tridents FC amejawa na matumaini ya kufanya makubwa akiwa na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kama ilivyokuwa wakati akiwa na...
Beki la krosi mguu mmoja ndani Simba BAADA ya kuikandamiza Ihefu FC mabao saba ndani ya siku nne, Simba imeendeleza kilio ndani ya timu hiyo ikidaiwa kumalizana na beki wa kushoto wa timu hiyo, Yahya Mbegu.
Yanga yatangulia CAF SARE iliyopata Simba dhidi ya Namungo na kichapo ilichopewa Azam FC kutoka kwa Kagera Sugar, imewarahisishia kazi Yanga, kwani vinara hao wa Ligi Kuu Bara imekuwa klabu ya kwanza ya Tanzania...
Didier Gomes kocha mpya Simba KLABU ya Simba rasmi imemtambulisha Didier Gomes raia wa Ufaransa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na ataanza kufanya majukumu yake. Akimtambulisha mbele ya Waandishi wa Habari, Mtendaji Mkuu wa...
Yacouba: Narudi kazini YANGA imepokea taarifa njema baada ya mshambuliaji wake, Yacouba Sogne kutamka hadharani kwamba sasa yuko sawa kurejea kazini ndani ya kikosi cha timu hiyo.
Siku tatu ngumu kwa TFF BAADA ya mchujo wa awali kupita na mbivu na mbichi kujulikana sasa wagombea wa nafasi mbalimbali za uchaguzi wa TFF wanaingia katika siku tatu ngumu za mapingamizi. Kuanzia leo Jumamosi hadi...
Msolla atolewa uwanjani chini ya ulinzi Wakati mashabiki wa Yanga wakichukizwa na matokeo ya sare ya mabao 3-3 hasira zao zilielelekezwa kwa Mwenyekiti wa klabu Dk Mshindo Msolla. Tukio hilo lilijiri dakika chache mara baada ya...