Parasports, mabingwa Kenya kukipiga Dar Nifuate Foundation kwa kushirikiana na Sauti Parasports Club wameandaa mechi ya kirafiki ya kimataifa, kati ya Sauti Parasports Club na Mombasa Amputee kutoka nchini Kenya itakayopigwa Aprili 28...
Ligi Bara vita yahamia hapa LIGI Kuu Bara imebakiza michezo minne kumalizika huku watetezi Yanga ikiongoza msimamo kwa kukusanya pointi 68 na michezo mitano, ilihali Simba ikiwa nafasi ya pili na pointi 60, lakini kuna vita...
Yanga yamfukuzisha kocha TP Mazembe TP Mazembe ya DR Congo imefanya mabadiliko makubwa kwenye benchi lake la ufundi kwa kumchukua kocha wao wa zamani, Lamine Ndiaye (66) na kuachana na Pamphile Mihayo aliyepigwa na Yanga nyumbani...
Mastaa 10 wa Bongo Flava wamvutia Harris Mtandao wa Spotify umetoa orodha ya nyimbo 25 zinazosikilizwa na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris huku wasanii 10 wa Tanzania wakipamba orodha hiyo ambayo msanii pekee wa kike ni Zuchu...
Mayele atamani rekodi ya Mmachinga MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele ameweka wazi kutamani rekodi iliyowekwa na nyota wa zamani wa kikosi hicho, Mohamed Hussein 'Mmachinga' ya kufikisha mabao 26 ndani ya msimu mmoja.
Singida BS yazifuata Simba, Geita BAO la dakika za 'jioni' lililowekwa kimiani na beki wa kati wa Singida Big Stars, Biemes Carmo jioni ya leo limeiwezesha timu hityo kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (ASFC)...
Namungo, Al Hilal hakuna mbabe MABINGWA wa Sudan, Al Hilal wamelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Namungo katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki hapa nchini uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Ligi Kuu Wanawake kuendelea kibabe leo Oktoba 22 mwaka jana, katika Tamasha la Wanawake lilofanyika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam, Baobab Queens waliibuka na ushindi kwa penalti 8-7 baada ya ndani ya dakika...
Robertinho: Kitanuka, ishu ya usajili wa Makusu ipo hivi “Kambi hii ina faida kwa upande wetu nimepata muda wa kuwafahamu wachezaji vya kutosha pamoja na wasaidizi wangu, naimani kwa kushirikiana kwa pamoja tutakwenda kufanya vizuri kama malengo yetu...
Simba yavuta Mcameroon BAADA ya juzi kumtambulisha Saido Ntibazonkiza kutoka Geita Gold, kisha jana kumuongezea mkataba, beki Henock Inonga aliyekuwa akinyemelewa na Azam FC, mabosi wa Simba wameendelea kuwapa raha...