Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8682 results for Mwandishi :

  1. Brama Traore adai Ivory Coast mziki mnene

    STALLIONS wa Burkina Faso wameondolewa katika michuno ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 hatua ya 16 bora, baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 mbele ya watetezi Ivory Coast, huku kocha wa...

    TRAORE Pict
  2. Hussein Masalanga atua Yanga

    KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu.

    MASALANGA Pict
  3. Peter Manyika kuagwa Mbezi, kuzikwa kesho Kinondoni

    Kipa na Kocha wa zamani wa makipa wa Yanga na timu ya taifa 'Taifa Stars', Peter Manyika anatarajiwa kuzikwa kesho, Jumatano, Januari 28, 2026 katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.

  4. Singida Black Stars yamrudisha nchini Raheem

    Singida Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa El Mahalla ya Misri, Raheem Shomary kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo huku mwenyewe akitaja sababu za kurudi...

    SINGIDA Pict
  5. PRIME Tchakei achomolewa Yanga, sababu yatajwa

    Soma hapa

    TCHAKEI Pict
  6. Mavitu ya Japhet Makarai yamkosha Tico Tico

    KAIMU Kocha Mkuu wa TMA ya jijini Arusha, Omary Matwiko 'Tico Tico', amesema tangu winga mpya, Japhet Vedastus Makarai, ajiunge na kikosi hicho katika dirisha dogo la Januari 2026, ameleta...

    MAKARAI Pict
  7. Harry Kane anaua tu, aweka rekodi hii

    STAA wa Bayern Munich, Harry Kane ameweka rekodi baada ya kufunga mabao mawili katika mechi ya Bundesliga dhidi ya Werder Bremen na kufikisha jumla ya mabao 500 tangu aanze kucheza soka la kulipwa.

    KANE Pict
  8. Benfica: Mourinho haendi kokote

    MABOSI wa Benfica wameendelea kuwa na imani kubwa kuwa kocha wao Jose Mourinho atasalia katika kikosi chao msimu ujao licha ya taarifa zinazodai anaweza kutimkia Real Madrid.

  9. Yanga yamfuta kazi Pedro Goncalves, Moallin kukaimu

    Dakika chache baada ya Yanga kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC, uongozi wa timu hiyo leo Jumatano, Mei 6, 2026 umetangaza kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves raia wa Ureno.

  10. Aliyesahaulika Man United afika fainali ya tatu

    ASTON VILLA wamefuzu fainali ya kwanza ya mashindano ya klabu Ulaya baada ya miaka 44 huku kocha Unai Emery akitarajiwa kucheza fainali ya tano ya Europa League katika maisha yake ya ukocha.

    SANCHO Pict
Previous

Page 145 of 869

Next