Brama Traore adai Ivory Coast mziki mnene STALLIONS wa Burkina Faso wameondolewa katika michuno ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 hatua ya 16 bora, baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 mbele ya watetezi Ivory Coast, huku kocha wa...
Hussein Masalanga atua Yanga KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu.
Peter Manyika kuagwa Mbezi, kuzikwa kesho Kinondoni Kipa na Kocha wa zamani wa makipa wa Yanga na timu ya taifa 'Taifa Stars', Peter Manyika anatarajiwa kuzikwa kesho, Jumatano, Januari 28, 2026 katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Singida Black Stars yamrudisha nchini Raheem Singida Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa El Mahalla ya Misri, Raheem Shomary kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo huku mwenyewe akitaja sababu za kurudi...
Mavitu ya Japhet Makarai yamkosha Tico Tico KAIMU Kocha Mkuu wa TMA ya jijini Arusha, Omary Matwiko 'Tico Tico', amesema tangu winga mpya, Japhet Vedastus Makarai, ajiunge na kikosi hicho katika dirisha dogo la Januari 2026, ameleta...
Harry Kane anaua tu, aweka rekodi hii STAA wa Bayern Munich, Harry Kane ameweka rekodi baada ya kufunga mabao mawili katika mechi ya Bundesliga dhidi ya Werder Bremen na kufikisha jumla ya mabao 500 tangu aanze kucheza soka la kulipwa.
Benfica: Mourinho haendi kokote MABOSI wa Benfica wameendelea kuwa na imani kubwa kuwa kocha wao Jose Mourinho atasalia katika kikosi chao msimu ujao licha ya taarifa zinazodai anaweza kutimkia Real Madrid.
Yanga yamfuta kazi Pedro Goncalves, Moallin kukaimu Dakika chache baada ya Yanga kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC, uongozi wa timu hiyo leo Jumatano, Mei 6, 2026 umetangaza kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves raia wa Ureno.
Aliyesahaulika Man United afika fainali ya tatu ASTON VILLA wamefuzu fainali ya kwanza ya mashindano ya klabu Ulaya baada ya miaka 44 huku kocha Unai Emery akitarajiwa kucheza fainali ya tano ya Europa League katika maisha yake ya ukocha.