Makocha wakabiliwa na uamuzi mgumu ya vikosi Kombe la Dunia HOMA ya Kombe la Dunia sasa imeikumba dunia huku timu kutoka nchi 48 zikiwa njiani au ndani ya Marekani, Mexico na Canada kwa ajili ya mashindano makubwa zaidi kuwahi kuandaliwa na Shirikisho la...
Nani kuwa mchezaji bora Kombe la Dunia? KOMBE la Dunia 2026 linaanza huku dunia nzima ikitazama ni mchezaji gani atakayeng’ara zaidi na kutwaa tuzo ya Golden Ball yaani Tuzo ya Mchezaji Bora wa mashindano hayo. Tuzo hiyoi ilianza 1982...
Moallin achekelea mabao ya Dube, Depu KUNA ukame uliowapitia washambuliaji wawili wa Yanga, Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ sasa jamaa wametupia huko timu za taifa na kumfanya kocha wao Abdihamid Moalin amechekelea akisema ni...
Nani kutwaa tuzo ya Golden Boot Kombe la Dunia? KOMBE La Dunia 2026 litakuwa mashindano makubwa zaidi kuwahi kufanyika, likishirikisha mataifa 48 nchini Marekani, Canada na Mexico. Mbali na mbio za ubingwa, ushindani wa tuzo ya Golden Boot kwa...
Taharuki! Sanamu za wachezaji zaporomoshwa Mexico MJI wa Mexico City upo kwenye taharuki baada ya kundi la walimu wanaogoma kufanya maandamano yaliyohusisha kuharibu na kuchoma moto sanamu za wachezaji wa mpira zilizokuwa sehemu ya maonyesho ya...
Mechi Zanzibar Heroes, Uganda yafutwa Mechi ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa Juni 11, 2026 baina ya Timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ na Uganda, imeahirishwa.
Mkongwe wa soka Gabon auawa MWANASOKA wa zamani wa kimataifa wa Gabon, Yrondu Musavu-King, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 34 katika mazingira ambayo yameacha fumbo kuhusiana na kifo chake.
Barca yaachana na Rashford, Sancho akitemwa Man United BARCELONA imeripotiwa kusitisha mpango wa kumsajili Marcus Rashford na sasa mshambuliaji huyo wa England atarejea Manchester United baada ya kukataa kulipa ada ya takriban Pauni 26 milioni...
Staa S’oton amuopa mtoto wa Roy Keane LEAH Keane ambaye ni binti wa nguli wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, amefunga ndoa na beki wa Southampton, Taylor Harwood-Bellis, katika harusi ya kifahari huko Wiltshire, Uingereza.