United ya Amorim moto wake hatari, Chelsea yashinda Manchester United imeonekana kurudisha makali yake baada ya kuichapa Everton mabao 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.
Slot akanusha mastaa wake kuvimba KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesisitiza kwamba wachezaji wake hawajioni kama wameshachukua ubingwa na kujivuna licha ya matokeo mabaya wanayopata hivi karibuni.
Kumbe Van Dijk anabaki Anfield BEKI kisiki na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk ameweka wazi kwamba yupo karibu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia katika viunga hivyo kwa muda mrefu zaidi.
Bellingham: Tuna bahati kufungwa bao 3 tu, zingekuwa nyingi KIUNGO nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham amesema timu yake ilikuwa na bahati sana kufungwa mabao matatu tu katika mechi yao ya mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Kesi ya Man City yapigwa kalenda LICHA ya ripoti kudai kwamba kesi yao inaweza kutolewa hukumu kabla ya dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu, sasa Manchester City itatakiwa kusubiri kwa muda mrefu zaidi kabla ya kujua hatma...
Gundogan ataja tatizo kushuka kwa Man City KIUNGO wa Manchester City, Ilkay Gundogan amesema kati ya vitu vilivyochangia kushuka kwa kiwango cha timu ni baadhi ya wachezaji kupoteza hamu ya kutawala na kushinda mechi kama ilivyokuwa zamani.
Ulaya yote mambo ni motomoto BALAA hilo. Ndicho unachoweza kusema wakati vita ya kusaka ubingwa wa Bundesliga utakapoendelea, ambapo Bayern Munich na Bayer Leverkusen zitakuwa nyumbani kukipiga na vfL Bochum na Werder Bremen...
Makocha watano ubaoni Tottenham Hotspur KOCHA, Ange Postecoglou nyakati ngumu zimeendelea kumwandama huko Tottenham Hotspur na hilo linaweza kumgharimu kibarua chake baada ya kuchapwa na Chelsea, usiku wa Alhamisi.
Pep Guardiola afunguka ishu ya De Bruyne PEP GUARDIOLA amethibitisha ilikuwa ni uamuzi wake kumaliza safari ya kiungo wa klabu hiyo na Ubelgiji, Kevin De Bruyne.
Euro 10 milioni kumng’oa Alonso Leverkusen REAL Madrid italazimika kulipa Euro 10 milioni ili kuvunja mkataba wa Kocha wa Bayer Leverkusen, Xabi Alonso inayohusishwa naye kwa muda mrefu,