Mynaco: Kufunga, kuzuia mbona kawaida tu KIUNGO wa Zed FC ya Misri, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amesema kufunga na kuzuia kwake ni kawaida sana ndio maana anasifika kwa jambo hilo.
Kocha Simba Queens atoa neno KOCHA Mkuu wa kikosi cha Simba Queens, Yussif Basigi amesema timu hiyo inapaswa kuwa makini na michezo iliyosalia ya Ligi Kuu ya Wanawake.
Selemani Mwalimu mdogo mdogo Wydad AC LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Wydad AC, mshambuliaji wa Kitanzania, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ameanza kuingia kwenye mfumo wa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu nchini Morocco.
Msewa anavyoikomboa Trabzonspor KIUNGO Mtanzania, Diana Msewa anayekipiga Trabzonspor inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Uturuki amekuwa mkombozi kwenye kikosi hicho tangu asajiliwe msimu huu akitokea Amed SK.
Huyu ndiye mmiliki wa wimbo ‘Halal’ HALAL ni kati ya nyimbo zinazofanya vizuri nchini hasa kwenye kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan kutokana na kuwa katika mahadhi fulani ya Kiarabu.
Yanga ilivyotumia miaka mitatu kuifunga Simba JUZI Machi 19 ilikuwa furaha kwa mashabiki wa Yanga Princess baada ya kumfunga mtani wao, Simba Queens bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL).
TFF yaufungulia uwanja wa CCM Kirumba SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeufungulia Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kufanyiwa marekebisho.
MGAYA: Kutoka uarabuni hadi Ligi Kuu Bara WAKATI mwingine unapokumbana na changamoto inapaswa kuigeuza kuwa fursa.Ndivyo anavyosema mshambuliaji wa Coastal Union, Mgaya Ally.
Haikuwa na kipengele! Yanga Princess yaipiga Simba Queens YANGA Princess imemaliza ubabe wa Simba Queens baada ya kuichapa bao 1-0 kwenye mchezo mkali wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa leo Machi 19, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar.
Mambo matano ya kuamua Dabi ya Kariakoo KESHO saa 10:00 za jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam itashuhudiwa Dabi ya Wanawake kati ya Simba Queens ambao ni wenyeji wa mchezo huo ikiikaribisha Yanga Princess.