Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Messi alivyoboresha afya duniani

    HATIMAYE Lionel Messi ‘La Pulga’ ndiye mchezaji aliyefanikiwa kubeba kila kitu katika soka na anamaliza ubishi wa siku nyingi kuwa nani ndiye G.O.T katika soka. Kirefu chake ni Greatest Of All...

  2. SPOTI DOKTA: Sababu za vifo vya wanahabari ni hizi

    Wa kwanza alikuwa Grant Wahl (pichani) aliyefariki kwa kupata la shambulio la moyo kitabibu heart attack akiwa kwenye Uwanja wa Lusail akiripoti mchezo wa robo fainali wa Uholanzi dhidi ya...

  3. SPOTI DOKTA: Pele anahitaji faraja hizi

    WAKATI Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar likingia katika hatua ya robo fainali hali ya gwiji wa soka wa duniani, Edson Arantes do Nascimento ‘Pele’ sio nzuri kiasi cha kuwa katika uangalizi...

  4. SPOTI DOKTA: Fahamu haya kabla ya kutua Qatar

    ZIMEBAKI siku tatu tu mtanange wa Kombe la Dunia kufunguliwa rasmi nchini Qatar ambapo wenyeji wa mashindano wataminyana na timu ya Taifa ya Ecuador. Mchezo huo wa ufunguzi ni wa kundi A ambao...

  5. Kante, Pogba kutojumuishwa Ufaransa 2026

    SSIKU, saa, dakika, sekunde na milisekunde hazigandi, zimebaki siku 10 kufikia Novemba 20, ili ufunguzi rasmi wa Kombe la Dunia FIFA kuanza kutumia vumbi nchini Qatar.

  6. Siri mabondia kuruka kamba

    KWA wanamichezo ni kawaida kufanya mazoezi ya aina tofauti kwa lengo la kutengeneza utimamu wa miili kuwawezesha kutimiza majukumu kwa ufasaha. Kipaji cha kucheza bila mazoezi ni sawa na kufuli...

  7. SPOTI DOKTA: Osimhen chupuchupu afie uwanjani

    KINDA wa soka kutoka nchini Nigeria anayekipiga katika klabu ya soka ya Napoli ya nchini Italia Victor Osimhen ameeleza kwa kina ajali ya mchezoni aliyoipata 21 Novemba 2021 chupuchupu...

  8. SPOTI DOKTA: Yanga vs Simba, sababu hizi mashabiki hawakuzimia

    WIKI hii gumzo kubwa lililotawala ni mechi ya watani wa jadi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga uliochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini...

  9. SPOTI DOKTA: Sababu kifo cha pacha wa Ronaldo

    WIKI iliyopita mshambuliaji Cristiano Ronaldo wa Manchester United alitoa taarifa ya kujifungua kwa mchumba wake Georgina Rodriguez, lakini bahati mbaya pacha wa kiume alifariki dunia.

  10. SPOTI DOKTA: Fahamu majeraha aliyopata Feitoto

    LEO, Aprili 7 ni siku ya afya duniani. Siku hii ya kimataifa huadhimishwa kila mwaka. Mwaka huu ikiwa na kaulimbiu ya ìsayari yetu afya yetu.” Kwa upande wa kona yetu ya Spoti Dokta tutalipiga...

Previous

Page 12 of 14

Next