Yacouba Sogne ndo basi tena MAJERAHA yamekiweka rehani kibarua cha staa wa zamani wa Yanga, Yacouba Sogne baada ya upasuaji wa goti nchini Morocco kukamilika kwani amesema anakwenda kwao Burkina Faso ili kujiuguza na...
PRIME Aucho, Camara hali tete Yanga, Simba NYOTA wawili muhimu katika vikosi vya Yanga na Simba, kiungo Khalid Aucho na kipa Moussa Camara wameibua hofu katika timu hizo kutokana na pancha zao.
PRIME Kocha Al Masry ataja ugumu Simba SIMBA inaendelea na hesabu zake ikijiandaa na mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini kocha wa wapinzani Anis Boujelbene, ameliambia Mwanaspoti kikosi chake kipo kwenye mtego...
Kocha Azam akomaa na mastaa wake KOCHA wa Azam FC Rachid Taoussi, amesema timu yake inapitia kipindi kigumu na bado wana nafasi ya kurudisha utulivu ili kupata matokeo mazuri.
PRIME Mnguto: CAF imetuacha na makovu Coastal Union JUZI ilikuwa sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mwanaspoti na Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Steven Mnguto na alizungumzia mambo mbalimbali ya uongozi wake ndani ya bodi hiyo, ishu...
Fitinesi ya mastaa Tabora yamshtua Mzimbabwe TABORA United imeshaanza maisha mapya na kocha wao mpya, Genesis Mangombe na jamaa ameshashtukia mambo fasta ndani ya kikosi chake.
PRIME VIDEO: Mnguto afichua ishu ya Yanga ilivyokuwa pasua kichwa HUWEZI kutaka kuyazungumzia maendeleo ya Soka la Tanzania kama hutagusia mamlaka ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) ambayo kimsingi ndio husimamia ustawi wa karibu ligi zote Tanzania.
PRIME Kocha amchomoa Nouma Simba KUNA mambo mawili ameambiwa beki wa kushoto wa Simba, Valentine Nouma na kocha wake ayafanyie kazi, huku kubwa zaidi akitakiwa kuchukua uamuzi wa kuondoka kikosini hapo.
Dakika 180 za moto KenGold KENGOLD bado inapasua kichwa ikitaka kubaki Ligi Kuu Bara, lakini imezitaja mechi mbili zinazoweza kuwa kikazo kwao ambazo ni dhidi ya ni Simba na Azam FC.
Rekodi za Bocco Azam FC zinaishi REKODI alizoacha John Bocco pale Azam FC, zimemfanya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Thabit Zakaria ‘Zaka Zakazi’, kumtaja kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote ndani ya kikosi hicho.