Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

721 results for Nevumba Abubakar :

  1. Vibali vyamweka nje beki Ceasiaa

    BEKI wa kati wa Ceasiaa Queens, Anita Adongo amesema yuko nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili kwa changamoto ya vibali ambayo huenda akaanza kucheza msimu ujao.

    VIBALI Pict
  2. Beki Mtanzania anawaburuza tu Mexico

    BEKI wa kati wa FC Juarez, Julietha Singano inayoshiriki Ligi ya Wanawake Mexico anazidi kung'ara akiingia kwenye kikosi bora cha wiki.

    BEKi Pict
  3. Masaka kukaa benchi Brighton, tatizo ni hili

    MECHI mbili za mwisho ilizocheza Brighton baada ya mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka kutoka kwenye majeraha ameendelea kusalia kwenye benchi.

    MASAKA Pict
  4. Suzy Bale: ‘We Huogopi’ imempa kiwanja, awataja Yanga

    JINA lake halisi Suzana Ahmad Salum lakini ni maarufu mitandaoni kwa ‘Suzy Bale’.Wapenzi wa mitandao hasa Tiktok na YouTube wanamfahamu vyema kutokana na mbwembwe zake.

    BALE Pict
  5. Stumai, mtaalamu wa kutikisa nyavu asiye na bahati WPL

    WAKATI mwingine neno bahati lina maana kubwa kwenye maisha ya mwanadamu. Si kila aliyefanikiwa ametumia nguvu kubwa, wengine ni bahati tu.uyo achukue kiatu msimu huu baada ya kukiwania bila...

  6. Ceasiaa Queens yalia na uchovu

    LICHA ya Ceasiaa Queens kupata ushindi mnono wa mabao 5-2 dhidi ya Mlandizi Queens wamesema uchovu umewafanya kutokuwa na mchezo mzuri.

    CEASEAA Pict
  7. Kocha Zambia amtabiria makubwa Mtanzania

    KOCHA wa Trident FC, Arnold Malisawa amemtabiria mshambuliaji wa Kitanzania, kinda Mourice Sichone atakuja kuwa hatari miaka ya mbele akimtaka aongeze bidii na nidhamu tu.

    MLISAWA Pict
  8. Kipa Azam amgomea Sadio Mane

    KIPA wa Azam FC, Mohamed Mustafa alikuwa langoni kulitumikia taifa lake la Sudan na kuambulia pointi moja katika mchezo uliomalizika kwa matokeo ya 0-0 dhidi ya Senegal iliyokuwa ikiongozwa na...

    KIPA Pict
  9. Esther Chabruma: Ubingwa bado kabisaaa!

    KOCHA wa JKT Queens, Esther Chabruma amesema msimu huu huenda bingwa akatokea mwisho wa msimu kutokana na ushindani uliopo kwenye ligi hiyo.

    JKT Pict
  10. Kibwana afichua jambo kuhusu Aziz KI

    MRATIBU wa Yanga Princess, Kibwana Matokeo amesema kiungo mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI amekuwa mtu muhimu kwenye matokeo ya timu hiyo akiwapa sapoti wachezaji wa kike.

    AZIZ KI Pict
Previous

Page 11 of 73

Next