Mrithi wa Minziro apata jeuri mapema KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata raia wa Uganda amesema baada ya kukitazama kikosi chake katika mechi mbili za kimataifa za kirafiki ameridhishwa na uwezo wa wachezaji na anaamini atafanya...
Pamba Jiji ilivyojipanga kurejesha hadhi yake PAMBA Jiji maarufu kama TP Lindanda ‘Wana Kawekamo’ wanarudi Ligi Kuu baada ya miaka 23 tangu waliposhuka daraja mwaka 2000, na Ijumaa itacheza mchezo wake wa kwanza wa michuano hiyo...
Dabi yampa mbinu kocha Vital’O dhidi ya Yanga CAFCL KOCHA Mkuu wa Vital ‘O ya Burundi, Sahabo Parris amesema ameutazama mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga na ameutumia kuisoma Yanga na kujua uimara wao, huku akiamini...
H.Baba amkingia kifua Harmonize HAMORNIZE ndiye msanii kinara atakayetumbuiza kwenye Tamasha la Pamba Day leo Jumamosi litakalofanyika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku H.Baba akimkingia kifua msanii huyo na kuwatoa...
Profile yaanza kibabe Kikapu Mwanza BAADA ya kuukosa ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza msimu uliopita, Profile imekuja kivingine msimu huu baada ya kuanza kwa ushindi dhidi ya bingwa mtetezi, Eagles na kulipa kisasi cha...
Tulieni, sasa ni zamu ya Pamba Day! BAADA ya wikendi iliyopita nchi kuwa bize kwa matamasha ya Simba, Yanga jijini Dar es Salaam na Azam Kigali, Rwanda, kesho ni zamu ya Jiji la Mwanza na litapokea wageni mbalimbali kwa ajili ya...
Mingange atoa masharti Chama la Wana BAADA ya kusini mkataba wa mwaka mmoja kufundisha Stand United ya Shinyanga kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship, Meja Mstaafu Abdul Mingange amesema uongozi, benchi la ufundi na kamati ya...
Kagera Sugar nne zinawatosha Uganda KIKOSI cha Kagera Sugar kimeondoka leo Alhamisi kutoka Bukoba kwenda Uganda kunoa makali ya wachezaji wake kwa kucheza mechi nne za kirafiki ili kujipima nguvu kabla ya kurudi nchini kwa ajili ya...
Chuku ajifunga mwaka Tabora United BAADA ya kuikosoa Ligi Kuu kwa msimu mmoja na nusu, beki Salum Chuku amerejea baada ya kusaini mwaka mmoja kuitumikia Tabora United huku akiwa tayari kwa vita ya namba dhidi ya mastaa wa nje...
Mashabiki Yanga: Kwa kikosi hiki hatuna cha kuhofia KILELE cha Wiki ya Mwananchi (Yanga Day) kinahitimishwa leo Agosti 4, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kwa klabu hiyo kutambulisha kikosi kipya cha wachezaji na benchi la...