PRIME Simba yakomaa na hoja 3 nzito CAF UONGOZI wa Simba baada ya kupata taarifa ya kubadilishwa ghafla kwa uwanja ambao utatumika kwa mechi yao ya nyumbani ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane...
PRIME Kilichoiua Simba Morocco hiki hapa, yapewa nondo za kuibeba nyumbani MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba umemalizika nchini Morocco kwa wenyeji kushinda 2-0, hivyo kwa sasa ni kuuendea wa marudiano...
Maajabu ya mpaka wa Morocco na Algeria MOROCCO na Algeria ni nchi zinazopakana lakini kwa muda mrefu zimekuwa na mgogoro wa kisiasa sababu kubwa ikiwa ni kugombea ardhi baina ya nchi hizo mbili.
Hivi ndivyo vyakula pendwa Morocco KILA nchi ina utamaduni wake na vyakula, kuna wakati huwa ni utambulisho wa nchi au jamii fulani.
Dalali: Tukifanya haya mwarabu hatoki MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali amesema hadi sasa maandalizi ya timu hiyo kwa mchezo wa ugenini wa hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco ni...
PRIME Fainali CAFCC: Tripu hii, ngoja tuone! SIMBA imekata mzizi wa fitina. Imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kusota kwa muda mrefu.
PRIME Fainali ya kibabe, Ahoua, Kibu kazi kwao BADO saa chache kabla ya Simba kushuka uwanjani kuvaana na RS Berkane ya Morocco kwenye pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku washambuliaji wawili wanaoongoza kwa mabao...
Makundi ya kirafiki Simba yako hivi KILA mtu na mtuwe na katika kundi kubwa la watu lazima kuwepo na vikundi vidogo vidogo ambavyo hata hivyo mara nyingi haviwezi kutenganisha kundi zima.
Fabrice Ngoma ndiye gumzo Morocco KWA huko nyumbani Tanzania, mashabiki wa Simba huwaambii kitu kwa winga, Ellie Mpanzu Kibisawala kutokana na namna alivyoteka hisia zao tangu alipojiunga na timu hiyo katika dirisha dogo la...
Simba yampigia hesabu kipa Berkane Kocha wa Simba, Fadlu Davids amesema wamejipanga kikamilifu kuikabili RS Berkane katika mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu, kesho Jumamosi.