Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Yanga yathibisha Bangala ni mali ya Azam FC

New Content Item (1)
New Content Item (1)

Uongozi wa Klabu ya Yanga umethibitisha rasmi kuwa kiungo Mkongomani, Yannick Bangala atajiunga na matajiri wa Chamazi, Azam FC ambapo anaenda kuungana na Feisal Salum Abdallah maarufu kama Fei Toto.

Bangala ambaye anamudu kucheza nafasi zaidi ya moja uwanjani aliitumikia Yanga akitokea FAR Rabat ya Morocco na kufanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/2022.

Inatajwa kuwa Azam wametumia kiasi cha Sh100 milioni kumng’oa kiungo huyo kutoka vyunga vya Jangwani ambapo tangu awali alionekana kutokwepo kwenye mipango ya timu hiyo kuelekea msimu wa 2023/2024.