Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Shughuli ya Azam CAFCC 2023/24 imeishia leo

Azam FC imetolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) hatua ya awali na klabu ya Bahir Dar Kenema ya Ethiopia kwa mikwaju ya penalti 4-3 katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar.

Mechi ya kwanza Ethiopia Bahir ilishinda mabao 2-1 na leo Azam ikiwa nyumbani ilishinda mabao 2-1 hivyo kufanya matokeo ya jumla 3-3. spoti

Bahir Dar Kenema inatinga hatua ya kwanza CAFCC na mshindi atatinga hatua ya makundi.