Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mvua yaanza kujaza maji Uwanja wa Mkapa

Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimeanza kujaza maji baadhi ya eneo la kuchezea la Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mvua hizo ambazo zimeanza kunyesha mchana leo zimezalisha maji ambayo yameanza kuonekana yakijaa baadhi ya maeneo ya uwanja huo.

Hali hiyo inaleta wasiwasi juu ya hali itakavyokuwa baadaye wakati mchezo wa Hatua ya Makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya US Monastir utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku