Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

‘Shetani Yanga’ aibukia kwa Mkapa-VIDEO

‘Shetani Yanga’ aibukia kwa Mkapa

Dar es Salaam. Shabiki wa Yanga, Idrisa Zakaria 'shetani wa Yanga’ ameibuka kwa Mkapa kwa staili ya kitofauti ambayo amesema ni ya utabiri wa kipigo kwa Simba.

Yanga itakuwa mgeni kwenye dabi hiyo ya kwanza ya Ligi Kuu ya NBC msimu 2021/22 itakayochezwa saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa.

'Shetani wa Yanga' ambaye ameibuka kwa Mkapa na staili ya kitofauti amevaa mapembe kichwani, kucha ndefu na kiuononi kajifunga plastiki amesema hiyo ni ishara njema kwa timu yake.

"Staili hii haiwezi kumuacha salama mnyama, natabiri kipindi cha kwanza itakuwa sare ila cha pili, Simba wasubiri tu kitakachowatokea".