LICHA ya uwepo wa mataifa makubwa yanayopewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye michuano ya Kombe la Dunia, mwaka huu kuna nchi zingine ambazo hazitajwi sana, lakini huenda zikashangaza kwa aina ya mastaa ambao wapo katika vikosi vyao na uzoefu wao kwenye michuano mikubwa.
Nchi hizo ni;
- SENEGAL
- JAPAN
- URUGUAY
- KOREA KUSINI
- POLAND
- MEXICO
- CAMEROON
- TUNISIA.