Picha Phiri amkuta Mayele Jumapili, Desemba 04, 2022 Mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri amefikisha mabao 10 kwenye ligi na kufikia idadi sawa na Fiston Mayele wa Yanga.Phiri alifunga mabao mawili katika mchezo dhidi ya Coastal Union uliochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga na kufikia idadi hiyo. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi.
Hawa wapo kwenye hatari ya kukosa Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimebakiza mwaka mmoja tu kuanza, lakini utashangaa kuna nchi kadhaa zenye majina makubwa ambazo zimezoeleka kucheza michuano hiyo zinaweza kushindwa kukipiga huko...
PRIME Aziz KI aacha alama 5 STEPHANIE Aziz KI ameshatimka rasmi nchini baada ya Yanga kufikia makubaliano ya kumuuza katika klabu ya Wydad Athletic ya Morocco ambayo anaenda nayo kuzivaa Manchester City na Juventus katika...