Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Liuzio akiri ushindani mkali Simba

Muktasari:

Liuzio ambaye ameifungia Simba bao moja katika mechi tano za msimu huu, alisema eneo la ushambuliaji lina changamoto kubwa lakini bado nafasi yake kucheza ni kubwa.

Mshambuliaji wa Simba, Juma Liuzio amekiri kuwa kikosi chao kina ushindani mkubwa kwa msimu huu tofauti na msimu uliopita.
Liuzio ambaye ameifungia Simba bao moja katika mechi tano za msimu huu, alisema eneo la ushambuliaji lina changamoto kubwa lakini bado nafasi yake kucheza ni kubwa.
"Kocha anafanya mabadiliko kadhaa kila wakati, kurejea kwa Laudit Mavugo pia kunaongeza ushindani," alisema.
"Hata hivyo sina mashaka na nafasi yangu, nafahamu kuwa nitacheza tu, tena mechi nyingi," alisema.