Shoo ya kibabe Ligi Kuu Tanzania Bara
Muktasari:
Pia, wachezaji wal-iojifunga, hat trick na timu ambazo zime-achana na makocha wao kwa sababu mbalimbali ikiwemo matokeo mabovu.
WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa kwenye mapumziko ma-fupi huku baadhi ya timu zikiwa zimecheza michezo 11 na Yanga ikiwa imeshuka dimbani mara tano pekee, Simba ndio kinara wa kufumania nyavu za wapinzani wake baada ya kufunga mabao 16. Pia, ndio timu pekee mpaka sasa ambayo inaonekana kuwa na ukuta mgumu kwani, im-eruhusu mabao matatu tu.
Singida United imeoneka-na kuwa na safu butu ya ush-am-buliaji kutokana na kuwa na mabao matatu katika michezo 10 walizocheza huku Mbeya City ikiwa imeruhusu mabao mengi kuliko timu yoyote (16).
Mwanaspoti kama kawa-ida yake inakuletea karibu wafungaji wa timu zote 20 ambao, wameshafunga mpaka sasa. Pia, wachezaji wal-iojifunga, hat trick na timu ambazo zime-achana na makocha wao kwa sababu mbalimbali ikiwemo matokeo mabovu.
WAFUNGAJI
1. Simba
Meddie Kagere - 8
Miraji Athuman - 4
Tshabalala - 1
Clatous Chama - 1
Sharif Shiboub - 1
Deo Kanda - 1
2. Kagera Sugar
Yusufu Mhilu 4
Awesu Awesu 3
Frank Ikobela 2
Evarigestus Mujwahuki1
Nassoro Kapama 1
Erick Kyaruzi 1
Geofrey Mwashiuya 1
Peter Mwalyanzi 1
3. Tanzania Prisons
Samson Mbangula 3
Ismail Aziz 2
Mohammed Mkopi 2
Benjamin Asukile 1
Jeremiah Kisubi 1
Jumanne Elfadhil Nimkaza1
Adilly Bahu 1
4. Namungo FC
Lucas Kikoti 3
Relient Lusajo 1
Mo Ibrahim 1
Hashimu Manyanya1
Bigirimana Blaise 1
Nzagamasoba Styve 1
Kelvin John 1
5. Lipuli FC
Paul Nonga 6
Daruesh Saliboko 6
Isa Rashid 2
Paul Materazi 1
Seif Rashid Karihe 1
Paul Materaz 1
David Kameta 1
Kenneth Masumbuko 1
6. JKT Tanzania
Edward Songo 2
Adam Adam 2
Mohamed Rashid 1
Hassan Materema 1
Najim Magulu 1
Danny Lyanga 1
7. Mtibwa Sugar
Dickson Daudi 3
Abdulhalim Humud 2
Jaffary Kibaya 2
Ismail Mhesa 1
Riphat Khamis 1
Isa Kajia Kigingi1
8. Ruvu Shooting
Sadat Mohamed 3
Abbas Dilunga 1
Samwer Vicent 1
Fully Maganga 1
Moses Shaaban 1
Santos Mazengo 1
9. Alliance FC
Jerry Tegete 2
Martine Kiggi1
Israel Patrick 1
Emmanul Manyenye 1
Geofrey Luseke 1
10.Mbao FC
Waziri Junior 3
Emmanuel Lukinda Charles 2
Frank Pascal 1
Cholo Mkama 1
Jordan John 1
11.Polisi Tanzania
Ditram Nchimbi 3
Marcel Kaheza 1
Erick Msagati ‘Okarai’1
Baraka Majogoro 1
12. Coastal Union
Shaban Idd Hamis 3
Ayoub Lyanga1
Menzi Chili 1
Bakari Mwamnyeto 1
Andrew Simchimba 1
13.Mwadui FC
Gerald Mathias Mdamu 4
Hassan Kapalata 2
Venance Ludovick 1
14.Yanga
David Molinga 2
Mrisho Ngassa 1
Abdulaziz Makame 1
Sydney Urikhob 1
15.Azam FC
Dolnald Ngoma 2
Daniel Amoah 1
Frank Domayo 1
Patrick Sibomana 1
Nico Wadada
16.KMC FC
Serge Alain 2
Iddi Nado 2
Hassan Kabunda1
Ally Ramadhan 1
Kenny Ally 1
Ramadhani Chombo ‘Redondo’ 1
17.Biashara United
Innocent Edwin 3
Ally Kombo 1
Juma Mpakala 1
18.Mbeya City
Peter Mapunda 4
Agustino Mapunda 1
George Chota1
Ibrahim Mwakamele 1
Mohamed Mussa 1
19.Ndanda FC
Omary Issa 1
Hussein Javu 1
Salum Chubi 1
Kigi Makasi 1
Kassim Mdoe 1
Abdul Seleman 1
20.Singida United
Laurent Frasi 1
Stephen Opuku1
Ramadhan Hashim 1
MABAO YA MATUTA
Meddie Kagere (Simba)
Kagera Sugar 0-3 Simba
Simba 4-0 Mbeya City
David Kameta (Lipuli FC)
Lipuli FC 2-2 Tanzania Prisons
Peter Mapunda (Mbeya City)
Mbao FC 1-2 Mbeya City
Serge Alain (KMC)
KMC 2-1 Biashara
Awesu Awesu (Kagera Sugar)
KMC 1-2 Kagera Sugar
HAT TRICK
Ditram Nchimbi (Polisi Tanzania)
dakika ya 34, 55 na 58
Yanga 3-3 Polisi Tanzania
Uwanja wa Uhuru
Daruesh Saliboko (Lipuli FC)
dakika ya 43, 72 na 87
Lipuli FC 5-1 Singida United
Uwanja wa Samora
Waliojifunga
Ibrahim Said, dk 90 (Alliance FC)
Mbao FC 1-1 Alliance FC
George Chota, dk 37 (Ruvu Shooting)
Mbeya City 1-1 Ruvu Shooting
Yassin Salum, dk 5 (Polisi Tanzania)
Ruvu Shooting 1-0 Polisi Tanzania
Dickson Daudi (Coastal Union)
Mtibwa Sugar 2-1 Coastal
Erick Mrilo, dk 59 (Alliance FC)
Polis Tanzani 1-0 Alliance
MAKOCHA WALIOSEPA
Athuman Bilal ‘Bilo’ (Alliance FC,)
Amri Said ‘Stam’ (Biashara United)
Fred Felix ‘Minziro’ (Singida United)
Ndayiragije (Azam FC)
Mlale Hamsini (Ndanda FC)
Mwinyi Zahera (Yanga)
Jackson Mayanja (KMC)