Ronaldo afunga bao la utata Juventus
Muktasari:
Mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo amefunga bao la kutatanisha la mkwaju wa penalti katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Coppa Italia dhidi ya AC Milan
Mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo amefunga bao la kutatanisha la mkwaju wa penalti katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Coppa Italia dhidi ya AC Milan