WAKO WAPI? Waliibuka ghafla kisha wakapotea KUWA namba moja ni jambo gumu, lakini kuendelea kuwa namba moja ni jambo guu zaidi, wahenga walisema.
Chilunda atupia mbili KMC iking'ara nyumbani KMC imeondoka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons ikiitandika mabao 3-2 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar.
CHOBANKA: Kocha wa Masaka anayeeleza kwanini anafundisha wanawake KAMA kuna kocha aliyevumbua vipaji vya soka kwa mabinti wadogo, basi ni huyu Ezekiel Chobanka ambaye anaifundisha Ceasiaa Queens ya mkoani Iringa.
Lamine Yamal alivyoirudisha mjini 'Shake Body' ya Skales WIKIENDI iliyopita nyota wa Barcelona, Lamine Yamal aliingia kwenye vichwa mbalimbali vya habari za burudani baada ya kufanya chalenji ya wimbo wa 'Shake Body'.
Kocha Ceasiaa Queens alia na waamuzi KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema kuna haja waamuzi kuchezesha vyema mechi na kuacha kupendelea timu moja hasa kubwa.
Southampton ya England yamuwinda Miroshi INAELEZWA Klabu ya Southampton ya Ligi Kuu England imevutiwa na uwezo wa Mtanzania Novatus Miroshi anayekipiga Goztepe ya Uturuki na imepanga kumsajili dirisha lijalo la usajili Ulaya.
Ligi Kuu ya Wanawake kuna vita mbili ZIKIWA zimesalia mechi nne kumalizaka kwa msimu wa 2024/25 kwa Ligi Kuu ya Wanawake kuna vita mbili kwenye ligi hiyo za kuwania nafasi.
Kocha JKT Queens aja na mikakati WPL BAADA ya kukusanya pointi 38 na kukaa kileleni, Kocha wa JKT Queens, Esther Chabruma amesema wanaandaa mikakati ya kupata pointi 12 za kuwania ubingwa.
Kiungo Yanga Princess aahidi makubwa KIUNGO wa Yanga Princess, Lydia Akoth amesema kuonyeshwa upendo na mashabiki wa timu hiyo inampa deni kubwa la kuipambania kuhakikisha inafanya vizuri kwenye mechi zilizosalia.
Evalisto asikilizia dili nono Misri MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto amesema mkataba wake na klabu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Misri umemalizika na sasa anasikilizia dili nono zaidi kutoka timu hiyo au nyingine...