Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1039 results for Saddam Sadick :

  1. Championship sasa kuna hesabu za vidole

    UKIPIGWA tu unaachwa. Ndivyo unaweza kusema kuelezea mtifuano ulivyo kwenye Championship baada ya kushuhudia mechi nane zilizochezwa, huku timu sita zikikimbizana kwa jasho kileleni.

    Championship Pict
  2. Prisons Queens waisikilizia TFF

    BAADA ya kukabidhiwa majukumu kuiongoza Prisons Queens, Kocha Mkuu Shaban Mtupa amesema anahitaji kuweka historia kwa timu hiyo kucheza Ligi Kuu misimu miwili ijayo, huku akilisikilizia...

    Prisons Pict
  3. Geita Gold ina hesabu ndefu

    PAMOJA na kukubali kupunguzwa kasi kwenye Championship, Geita Gold imesema ni mapema sana kwa timu yoyote kutamba kupanda Ligi Kuu, ikieleza kuwa hesabu zao ni kushinda kila mechi na kusubiri...

    Geita Pict
  4. Mastaa KenGold wajishtukia Bara

    LICHA ya kukiri matokeo kutokuwa mazuri, mastaa wa KenGold wamejishtukia na kusema njia mbadala ya kumaliza presha kikosini ni juhudi binafsi za mchezaji mmoja mmoja bila kukata tamaa.

  5. Pazi aanika siri za makipa Bara

    ACHANA na ushindi wa kwanza wa Pamba Jiji walioupata jana ugenini, Kipa wa Fountain Gate, Fikirini Bakari anakuwa miongoni mwa makipa watano Ligi Kuu kufanya makosa ya kuzigharimu timu zao.

  6. Mastaa KenGold kikaangoni

    WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakiitabiria kushuka daraja Ken Gold kutokana na matokeo waliyonayo, uongozi wa timu hiyo umesema unaenda kufanya maamuzi magumu bila kuangalia sura ya mtu.

  7. Mwakyusa aliamsha Prisons

    BAADA ya kurejeshwa kikosini na kuisaidia Tanzania Prisons kushinda dhidi ya KenGold, kipa wa timu hiyo, Edward Mwakyusa amesema anataka kujihakikishia namba na kuisaidia timu kuendelea kufanya...

    Mwakyusa Pict
  8. Mwalimu afichua siri ya kiwango chake, ashukuru kuitwa Stars

    Mabao matano katika mechi sita alizocheza yamemuamsha straika wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu akielezea siri ya mafanikio yake huku akitamba kulinda nafasi yake kikosini na timu ya Taifa 'Taifa...

  9. Prisons yafufuka Ligi Kuu ikiizima Fountain Gate

    Baada ya kusota katika mechi tano mfululizo bila ya ushindi, hatimaye Tanzania Prisons imeona mwezi kwa kuonja pointi tatu za kwanza kwa kuikanda Fountain Gate mabao 3-2.

    Mbeya Pict
  10. Kipa Ken Gold amuota Chama

    LICHA ya matokeo wanayopitia Ken Gold, lakini kipa wa timu hiyo, Castor Mhagama amesema anaridhishwa na kiwango chake huku akimtaja kiungo wa Yanga, Clatous Chama kumpa wakati mgumu walipokutana...

    Chama Pict
Previous

Page 9 of 104

Next