Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

887 results for Thobias Sebastian :

  1. Simba yaleta kocha Mreno

    MUDA wowote kuanzia wakati huu mabosi wa Simba wapo kwenye hatua za mwisho kumtangaza kocha mkuu mpya ambaye mchakato wake wa kumpata umekamilika na anasubiri tiketi ya ndege ili kutua nchini...

  2. Makocha wawili kutambulishwa Simba wiki hii

    Dar es Salaam. Baada ya kikosi cha Simba kuwa na wachezaji wengi majeruhi, mabosi wa timu hiyo wapo kwenye hatua za mwisho kumshusha nchini kocha mpya wa viungo atakayekuja kuchukua nafasi ya...

  3. Sakho, Banda waletewa fundi mpya Simba

    DILI linanukia. Simba itamtambulisha kocha mpya viungo aliyekuwa akifundisha kwenye nchi za Kiarabu na kabla ya wiki hii kumalizika.

  4. Matola: Naondoka Simba

    KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amelithibitishia Mwanaspoti kwamba anaondoka kwenye benchi la ufundi la timu hiyo kwa muda akapige shule kidogo.

  5. Zoran amvutia waya Okwa

    BAADA ya kuonyesha kiwango bora kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita michezo miwili hatua ya awali akiwa na Rivers United, Nelson Okwa dhidi ya Yanga aliwavutia mabosi wa Simba.

  6. Simba yapata dawa mpya, Okrah ndani, Ihefu yapania

    KOCHA wa Simba, Juma Mgunda amesema upungufu ulioonekana kwenye mechi iliyopita dhidi ya Singida Big Stars (SBS) baada ya kuwakosa, Clatous Chama na Augustine Okrah hautakuwepo kwenye mechi ya...

  7. Chama atuma ujumbe kwa mashabiki

    KIUNGO fundi wa Simba, Clatous Chama amesema wapenzi na mashabiki wa timu hiyo wanatakiwa kutulia kwani ushindani wa Ligi Kuu Bara bado ni mkali licha ya kudondosha pointi tano hivi...

  8. Kipa Singida: Mlitaka nifanyeje?

    KIPA wa Singida Big Stars, Abubakar Khomen amesema bao alilofungwa kwenye mechi dhidi ya Simba hata mfungaji, Peter Banda hakutegemea kama angeweza kuupiga ule mpira vile. Khomen alisema dhumuni...

  9. Simba kushusha mshambuliaji Mghana

    MABOSI wa Simba chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ na benchi la ufundi wamekubaliana kufanya usajili wa kwanza mapema na haraka iwezekanavyo kabla ya dirisha...

  10. Yanga yatinga makundi, kuvuna zaidi ya Sh500 milioni

    Wawakilishi wa Tanzania kwenye kombe la Shirikisho Afrika Yanga imefuzu hatua ya makundi kwenye michuano hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 ugenini. Yanga ilikuwa wageni wa Club Africain...

Previous

Page 8 of 89

Next