Geita Gold gari limewaka, Arusha kuna Dabi ya Monduli
LICHA ya kuanza kwa kuchechemea katika Ligi ya Championship, Geita Gold imejipata na gari limewaka huku winga wa timu hiyo, Yusuph Mhilu akitoboa siri kuwa wachezaji wameelewa, kupata muunganiko...