Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

133 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. PRIME SPOTIDOKTA: Wanasoka na majeraha ya funiko la mguu

    KWA wale wafuatiliaji wa soka kupitia Redio Tanzania neno funiko la mguu ni kawaida kulisikia kwa watangazaji mahiri wa mpira wa enzi za miaka ya 1980 na 1990 kina Charles Hillary, Aboubakar...

  2. SPOTIDOKTA: Hatari ya dawa hizi kwa wanamichezo

    KIUNGO wa Juventus ya Italia, Paul Pogba ameingia katika tuhuma za kutumia dawa za kusisimua misuli ambazo zilipigwa marufuku michezoni. Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu wiki hii ni kwamba...

  3. SPOTIDOKTA: Hatari ya kucheza ukiwa na maumivu ya viungo

    LIGI zimesimama kwa muda baada ya kuchezwa kwa mechi chache ili kupisha kalenda ya mechi za kimataifa kwa timu za taifa. Hapa nchini, ligi imechezwa raundi mbili huku Yanga ikiwa kileleni...

  4. SPOTI DOKTA: Fahama haya kabla ya ukimbiaji

    SIKU za hivi karibuni kumekuwa na mwamko kwa wazee na vijana kufanya mazoezi mepesi ya kukimbia katika maeneo maalumu, barabarani au katika marathon maaarufu zinafanyika hapa nchini. Mfano ni...

  5. PRIME SPOTI DOKTA: Majeraha ya KDB wa Man City yapo hivi

    kutazama ukubwa wa majeraha ya tishu laini ni kile cha MRI. Kipimo hiki kinaonyesha picha nzuri ya hali ya tishu. Matibabu yanategemeana na daraja la jeraha, mara nyingi daraja la tatu huwa ni...

  6. PRIME SPOTI DOKTA: Ni upimaji afya tu kwa kwenda mbele

    HIVI sasa kila kukicha ni habari za mitandaoni za hivi punde. Mara staa fulani anatua klabu ile, mara paap habari hiyohiyo inakanushwa kuwa staa huyo bado hajasaini mkataba. Naam! Ndio soka la...

  7. PRIME SPOTIDOKTA: Wanayoyafanya mastaa kipindi hiki

    HAPA Bongo ni hekaheka za klabu kubwa nchini ikiwamo Yanga, Simba na Azam kuingia chimbo kusaka nyota wakali wataocheza msimu ujao na kuwapa mafanikio. Hata kule kimataifa mwendo ni huohuo kila...

  8. PRIME SPOTIDOKTA: Usicheze ukiwa na maumivu ya viungo

    Ligi mbalimbali duniani zimeisha, wiki iliyopita mwishoni kulikuwa na mechi kadhaa za kimataifa ikiwamo zile za kunyang’anyiro cha kupata nafasi ya mashindano ya mataifa ya Afrika. Ukiacha hayo...

  9. PRIME SPOTIDOKTA: Umuhimu wa Fair Play na ushabiki ubora kwenye soka

    KATIKA tuzo za TFF kwa msimu wa 2022-2023, kiungo mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibazonkiza, alishinda tuzo ya Fair Play akiwapikunyota wenzake wa Msimbazi, Pape Osmane Sakho na Jean Baleke.

  10. PRIME SPOTIDOKTA: Haya ndio yaliyozibeba Wanafainali wa 2023

    WIKIENDI iliyopita ilikuwa tamu kwa wapenda soka kutokana na kusheheni fainali pendwa hapa duniani ikiwamo ile ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa Jumamosi na ile ya Ligi ya Mabingwa...

Previous

Page 8 of 14

Next