Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Kifo cha Dwamena kuna kitu cha kujifunza

    Medani ya soka ilipata pigo Jumamosi iliyopita baada ya mwanasoka Raphael Dwamena, raia wa Ghana kuanguka ghafla uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu Albania kati ya klabu yake ya KF Egnatia na FK...

  2. SPOTI DOKTA: Kipigo cha Yanga kimeteteresha afya

    JUMAPILI katika Uwanja wa Benjamini Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu, Yanga ilimdhalilisha mtani wake wa jadi, Simba mara baada ya kumpiga kipigo cha aibu cha mabao 5-1. Kipigo hicho...

  3. SPOTIDOKTA: Jeraha la Neymar liko hivi...

    Mshambuliaji wa soka wa AL Hilal na staa wa Timu ya Taifa ya Brazil, Neymar Jr amepata jeraha baya la goti wakati akitimiza majukumu ya timu ya taifa. Staa huyu mwenye umri wa miaka 31 alipata...

  4. SPOTI DOKTA: Wanasoka hawa wanapeta na umri wa miaka 30+

    WAKATI Yanga inamnyakua kiungo wa Simba, Jonas Mkude, katika msimu huu baadhi ya wadau wa soka walinyoosha kidole kuonya usajili huo wakisema ni mchezaji mzee yaani umri wa 30+. Haishangazi...

  5. Faida na hasara za kufanya mazoezi ufukweni

    NI kawaida kwa wanasoka au wanamichezo hapa Bongo kuwaona wakijiongeza kwa kufanya mazoezi katika maeneo ya ufukweni wakiamini ni moja ya maeneo mazuri kujenga utimamu wa mwili. Kujiongeza kwa...

  6. Daktari agusia jeraha la Kramo

    kuendelea na shughuli zake.” Daktari wa Mwanaspoti, Shita Samwel akizungumzia jeraha la nyota huyo alisema; “Kuna aina tatu kwenye hizo nyuzi sasa unapoumia ukafanyiwa vipimo vya MRI...

  7. PRIME SPOTIDOKTA: Uungwana unapunguza majeraha mabaya

    KATIKA mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam Alhamisi iliyopita ilishuhudiwa beki wa Simba, Henock Inonga akichezewa rafu mbaAya na mshambuliaji wa soka wa...

  8. PRIME SPOTIDOKTA: Wanasoka na majeraha ya funiko la mguu

    KWA wale wafuatiliaji wa soka kupitia Redio Tanzania neno funiko la mguu ni kawaida kulisikia kwa watangazaji mahiri wa mpira wa enzi za miaka ya 1980 na 1990 kina Charles Hillary, Aboubakar...

  9. SPOTIDOKTA: Hatari ya dawa hizi kwa wanamichezo

    KIUNGO wa Juventus ya Italia, Paul Pogba ameingia katika tuhuma za kutumia dawa za kusisimua misuli ambazo zilipigwa marufuku michezoni. Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu wiki hii ni kwamba...

  10. SPOTIDOKTA: Hatari ya kucheza ukiwa na maumivu ya viungo

    LIGI zimesimama kwa muda baada ya kuchezwa kwa mechi chache ili kupisha kalenda ya mechi za kimataifa kwa timu za taifa. Hapa nchini, ligi imechezwa raundi mbili huku Yanga ikiwa kileleni...

Previous

Page 8 of 14

Next