PRIME Mambo matatu yanasubiriwa kwa Jux kimataifa KAMA ulikuwa unajua harusi ya msanii wa Bongo Fleva na muigizaji Priscilla Ojo imeisha basi jua wawili hao mambo hayajaisha na sherehe itahitimishwa hapa Dar es Salaam.
Chamou Karaboue alivyopunguza presha Simba HAIKUWA kazi nyepesi kwa beki wa Simba, Chamou Karaboue kupata nafasi kwenye kikosi hicho mbele ya mabeki, Che Malone Fondoh na Abdulrazack Hamza ambao ndio walinzi tegemeo wa kati.
Timu ya taifa ya Futsal kuanza na Madagascar ALHAMISI hii Timu ya Taifa ya Wanawake 'Twiga Stars' itashuka Uwanja wa Salle Moulay Abdellah jijini Rabat, Morocco kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Madagascar kuwania kufuzu fainali...
Mabao 10 ya Msuva na maana yake MABAO 10 aliyofunga mshambuliaji wa Kitanzania, Simon Msuva kwenye klabu ya Al Talaba yameifanya timu hiyo kusalia nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi.
Chama la Yusuph Athuman lina historia WIKI iliyopita Mtanzania, Yusuph Athuman alitambulishwa kwenye kikosi cha timu ya Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu Asia.
Julietha Singano anazidi kung'ara Mexico BEKI wa kimataifa wa Tanzania, Julietha Singano anazidi kuwakosha mashabiki wa FC Juarez inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Mexico baada ya juzi kuingia kwenye kikosi bora cha wiki.
Kocha Aykhan Farzukh amtabiria makubwa Mabula KOCHA Aykhan Farzukh wa timu ya Shamakhi FK anayoitumikia Mtanzania Alphonce Mabula amemtaja staa huyo kama kiungo atakayekuja kufanya makubwa kwani bado umri unamruhusu.
TOP 10: Usajili wao WPL umejibu HADI sasa katika Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) zimesalia raundi nne kukamilisha msimu wa 2024/25 na kuna timu zimeshajua hatma zao kwenye msimamo na nyingine zinapambana kujieweka pazuri.
DAKIKA ZA JIOOONI: Coastal Union na mwendelezo mbaya Ligi Kuu Coastal Union ni moja ya klabu zenye historia katika soka la Tanzania na imeshiriki Ligi Kuu Bara kwa vipindi tofauti.
Samatta, Mo Salah walivyozibeba Tanzania, Misri Ligi Kuu England LIGI Kuu England ndiyo ligi pendwa zaidi duniani na imekutanisha mataifa mengi yakiwakilishwa na wachezaji wao.