Mayay: Ujenzi uwanja mpya Arusha mwezi Machi Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Ally Mayay amesema waandaaji wa fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027; Tanzania, Kenya na Uganda kila nchi itapaswa kuwa na viwanja vitatu na kwamba...
JKT, Simba hivi ndivyo itakavyokuwa KESHO Februari 15, 2024 JKT Tanzania itaikaribisha Simba katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Sa-laam, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara huku rekodi mpya ya viingilio uwanjani ikitarajiwa...
Aziz Ki aliipa Yanga mateso KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki amerejea kazini na mchezo wa ligi uliopita akipewa dakika 4 za mwisho lakini takwimu zikathibitisha jinsi ambavyo kikosi hicho kilikosa huduma...
Benchikha: Ubingwa unakuja, awaachia goma Freddy, Jobe Kocha wa kikosi cha Simba, Abdelhak Benchikha amezungumzia nyota njema anayoiona kwenye kikosi chake baada ya kikao kizito na nyota wake na kwamba kiwango chao katika mechi iliyopita ndio kiwango...
Samia abariki ujenzi uwanja wa Yanga Naibu wa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma 'Mwana FA' amezindua jengo la klabu ya Yanga lililopo Mitaa ya Twiga na Jangwani, jijini Dar es Salaam na kusema Rais Samia Hassan...
Yanga, Hospitali za Aga Khan zaja na sapraizi kwa mashabiki KLABU ya Yanga imesaini mkataba wa miaka miwili na Taasisi ya Aga Khan kwa hospitali zake kuiwezesha kupatiwa matibabu kwa wachezaji, viongozi, wafanyakazi na mashabiki kwa gharama nafuu. Hatua...
Gamondi: Diarra ni shujaa wangu KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amesema katika makipa watano bora kwenye Afcon ya msimu huu, Diarra yumo. Diarra alicheza mechi zote za Afcon katika timu yake ya Taifa ya Mali, mpaka walipotolewa...
PRIME Baleke na Phiri? Hebu msikie Jobe WAKATI mashabiki wa Simba wakiwa bado wanajiuliza namna timu yao itakavyoweza kuyarudisha mabao ya Jean Baleke na JeneralI Moses Phiri, straika mpya wa Wekundu wa Msimbazi, Pa Omary Jobe ametoa...
Gamondi kiroho safi kwa Guede YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho kuivaa Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara, ikiwa ni saa chache tangu ilipotoka suluhu ugenini na Kagera Sugar, mjini Bukoba, huku kocha mkuu...
Guede amkuna Gamondi Yanga inatarajiwa kutua Dar es Salaam ikitokea Mwanza ilipokuwepo tangu jana na kupiga tizi kujiandaa na mechi ijayo ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji itakayopigwa kesho, ikiwa ni saa chache...