AKILI ZA KIJIWENI: Simba wasilisahau kaburi la Magufuli Chato MIMI na wenzangu hapa kijiweni hatujui na hatuna uhakika kama Simba itatetemesha Afrika kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco ambayo itacheza nayo kwenye...
Simba V RS Berkane yanukia Kwa Mkapa Kama agizo la serikali litafanyiwa kazi kwa wakati, mechi ya marudiano ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba na RS Berkane itapigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Mei...
PRIME Simba yatinga fainali CAFCC, sababu nzito yatajwa Afrika Kusini Sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch ugenini kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban Afrika Kusini leo Aprili 27, 2025 imeivusha Simba kwenda hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika...
AKILI ZA KIJIWENI: Kagera Sugar kilichobaki ni miujiza tu ILIKUWA suala la wazi wazee wa makarasha, KenGold wasingebakia Ligi Kuu Bara kwa vile walionyesha dalili nyingi za kurudi Championship.
AKILI ZA KIJIWENI: Yanga ikibeba ndoo inapaswa kushukuru mno! Kwa hapa kijiweni tunaamini huu ni msimu ambao Yanga inauchukua ubingwa kwa staili ya kipekee inayopaswa kuwafanya mashabiki wake kumshukuru Mungu.
AKILI ZA KIJIWENI: Mzee Mangungu anastahili pongezi Simba MWINYI mmoja kutoka Kilwa sasa hivi anaweza kuwa miongoni mwa wanadamu wenye furaha sana pale ndani ya Simba kutokana na mwenendo mzuri wa timu hiyo.
Simba yaichapa Stellenbosch, hesabu zinakubali Pamoja na kupata ushindi kiduchu wa bao 1-0 dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Simba bado ina nafasi kubwa ya kutinga hatua ya fainali ya kombe...
Kisa vurugu, CAF yaziadhibu MC Alger, Esperance Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imetoa adhabu kali kwa timu za MC Alger na Esperance kutokana na vurugu za mashabiki, wachezaji na maofisa wao ugenini katika mechi za hatua ya robo...
AKILI ZA KIJIWENI: Taoussi ana kazi kubwa Azam AZAM FC inaomba Mungu aijaalie ipate tiketi ya kushiriki mashindano ya kimataifa msimu ujao, licha ya ushindani inaopata kutoka kwa Singida Black Stars hapo kwenye nafasi ya tatu ambako wapo.
AKILI ZA KIJIWENI: Kaseja sasa ndo ameanza kazi Kagera SIKU za mwanzoni za Juma Kaseja ndani ya Kagera Sugar baada ya kukabidhiwa ukocha mkuu zilikuwa tamu sana kutokana na mwenendo mzuri ambao timu hiyo ilikuwa nao wakati kipa huyo wa zamani wa...