PRIME Usajili mpya 2025 mjadala England MABOSI wa Ligi Kuu England wanajiandaa kufanya mazungumzo ya kubadili siku ya mwisho ya kufungwa kwa dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu, imeelezwa.
Roy Keane: Bruno Fernandes anaongea sana LEJENDI wa Manchester United, Roy Keane amemkosoa vikali kapteni wa timu hiyo, Bruno Fernandes kutokana na mahojiano aliyofanya baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 4-1.
Kisa AFCON Salah kuipa pigo Liverpool LICHA ya kuinjoi maisha ikiwa na staa wake raia wa Misri, Mohamed Salah ambaye msimu huu ndio mchezaji anayeongoza kwa kuchangia mabao mengi zaidi katika kikosi chao, Liverpool itatakiwa...
Carragher: Alexander-Arnold hapaswi kuanza Liverpool LEJENDI wa Liverpool, Jamie Carragher amesisitiza beki wa timu hiyo Trent Alexander-Arnold hapaswi kuanza tena katika kikosi cha Liverpool ikiwa hajatoa majibu kama anataka kuondoka au kubaki.
UBINGWA EPL: Liverpool inaisikilizia Arsenal WIKI hii wachezaji na mashabiki wa Liverpool watakuwa sebuleni macho yote yakiutazama mchezo wa London dabi wa Arsenal dhidi ya Crystal Palace wa keshokutwa Jumatano, utakaoamua ubingwa wao wa...
Maamuzi magumu Man United, Amorim kuhusika MANCHESTER United itaingia kwenye dirisha la usajili la majira ya kiangazi ikiwa na mpango wa kutaka kuboresha kikosi chake huku kocha mpya Ruben Amorim akitarajiwa kupata fursa yake ya kwanza ya...
Mashabiki Chelsea wambadilikia Todd Boehly MASHABIKI wa Chelsea wameiomba mamlaka inayosimamia Ligi Kuu England kumchunguza mmiliki wao Todd Boehly kutokana na uhusiano wake na kampuni inayouza tiketi za mechi mbalimbali za ligi hiyo.
Shearer aweka tiki Kane kutua Anfield GWIJI, Alan Shearer amesema Liverpool haitaonekana kwamba imetumia akili mbovu endapo itapambana kunasa huduma ya straika wa Bayern Mnnich, Harry Kane kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi...
Takwimu zaibeba Barca El Clasico NI wikiendi nyingine nchini Hispania, kila shabiki wa soka leo anajiandaa kushuhudia mchezo wa mkubwa zaidi wa kihistoria, Wahispania wanauita El Classico.
Gamondi aisoma Pamba Jiji KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema kutokana na utafiti alioufanya amebaini kwamba wapinzani wanaocheza nao kesho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Pamba Jiji ni timu ambayo inajilinda...