Awesu, Kagoma waiponza Simba ACHANA na lile sakata la usajili wa beki Lameck Lawi aliyekuwa Coastal Union aliyetimkia kwa sasa KAA Gent ya Ubelgiji, inaelezwa nyota watatu wapya waliosajiliwa na Simba, Awesu Awesu, Yusuf...
Dube bado haamini kilichotokea! BAADA ya kutoa asisti ya bao pekee katika derby Yanga na Simba Juzi mechi ya pili ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, mshambuliaji mpya wa kikosi hicho Prince Dube amefunguka kuwa haamini kama...
Rekodi za Simba, Yanga Ngao ya Jamii Mara ya kwanza zinaanza kuchezwa mechi hizo, Yanga iliichapa Simba mabao 2-1, wafungaji wa Yanga ni Edibily Lunyamila na Ally Yusuph 'Tigana' huku la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garincha'.
Pacome: Nyie subirini KUELEKEA katika mechi ya dabi itakayochezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefunguka kuhusu mwanzo wake mpya.
Simba mpya yamshtua Gamondi, afunguka haya Yanga na Simba zinatarajiwa kukutana Agosti 8, mwaka huu katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kuelekea ufunguzi wa msimu wa 2024-2025.
Rais Samia, Dk Mpango wasimamisha utambulisho WAKATI utambulisho wa wachezaji ukiendelea, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wasitisha zoezi hilo na kuzungumza na wananchi.
Mtoto wa Manji atua kwa Mkapa UNAWEZA kusema mtoto wa nyoka hazai kuku, kwani mtoto wa aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa Yanga, Mehboub Manji ametua Uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia Tamasha la Wiki ya Mwananchi.
Mastaa Yanga wamsha shangwe wakitinga Kwa Mkapa KIKOSI cha Yanga kimetinga ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, kikiwa kimevaa simpo tu, tofauti na miaka ya nyuma lakini kikiamsha shangwe kwa mashabiki walioujaza uwanja huo katika Tamasha la...
BillNass aingia kitofauti kwa Mkapa MSANII wa kizazi kipya ‘BillNass’ atua kivingine katika uwanja wa Benjamin Mkapa huku akitoa burudani ili washangaza mashabiki.
Yanga noma, yatawala kila kona YANGA imeendelea kufanya vizuri kila kona baada ya kikosi hicho cha Maveterani kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Wasanii, katika mchezo wa utangulizi kwenye kilele cha wiki ya...