PRIME Janja ya Al Masry yashtukiwa, Fadlu ajipanga Kuna mambo kibao yanaendelea hapa nchini katika anga la michezo, wakati Ligi Kuu Bara inaporejea leo, lakini kule Misri, Simba itakuwa uwanjani dhidi ya Al Masry kuwania kutinga nusu fainali ya...
PRIME Saa 24 za moto Simba v Al Masry, Tabora v Yanga utamu upo hapa KUNA saa 24 za moto kwa Simba na Yanga kujiuliza wanaziendeaje mechi zao zilizoshikilia maana kubwa katika kufikia malengo yao msimu huu. Saa hizo zinaanzia leo katika maandalizi ya mwisho kabla...
PRIME Kikwazo cha Simba CAF, Fadlu aweka mambo hadharani SIMBA inakwenda Misri kucheza mechi ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry huku ikipiga hesabu ndefu za kuvuka hatua hiyo lakini inafikiria namna ya kuvuka kikwazo...
PRIME Yanga ilivyoipiga bao Simba Ligi Kuu KUNA mstari mwembamba sana unaozitenganisha Yanga na Simba katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu. Hii inatokana na namna ambavyo timu hizo zilimaliza duru la kwanza na zilivyoanza...
PRIME Hizi timu zinashuka Ligi Kuu Bara, hatma zao zipo hapa ZIMEBAKI mechi saba za kujitetea kwa timu mbili kuepuka kushuka daraja kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu huku takwimu zikionyesha zina kazi kubwa ya kufanya.
Timu 5 Ligi Kuu hazijawahi kupata ushindi ugenini Ligi Kuu Bara 2024/256 Wakati msimu huu mambo yakiwa hivyo kwao zikisalia mechi saba, msimu uliopita timu hizo zilikuwa kati ya nane zilizoshinda mechi nyingi ugenini, huku Tabora United ambayo unaweza kusema kwa sasa...
Simba V Dodoma Jiji... Ni mechi ya kisasi UMUHIMU wa pointi tatu za mchezo wa leo baina ya Simba na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu Bara, zinatoa majibu ya namna upinzani unaotarajiwa kuwepo muda wote wa dakika 90 kwenye Uwanja wa KMC...
Mechi zilizobaki Ligi Kuu Bara za jasho na damu UKIWEKA kando mechi za viporo ikiwamo Dabi ya Kariakoo, asilimia kubwa ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zimeshuka dimbani mara 23, bado saba kuhitimisha msimu huu wa ligi hiyo. Hiyo inazifanya...
Simba v TMA Shirikisho hii mechi ipo! BAADA ya kushindwa kuchezwa kwa mechi ya Dabi ya Kariakoo wikiendi iliyopita dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu Bara, leo jioni Simba inatarajiwa kushuka uwanjani kuvaana na TMA Stars ya Arusha ukiwa...
PRIME Iwe isiwe, Kwa Mkapa kitawaka UBABE, soka la kasi na burudani ndani na nje ya uwanja vinatarajiwa katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo unaopigwa leo kuanzia saa 1:15 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwa Yanga...