Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1869 results for Charity James :

  1. Chirwa bado haamini kilichomkuta Ligi Kuu msimu huu

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Obrey Chirwa bado haamini alichokutana nacho msimu huu wa Ligi Kuu Bara akisema ni mgumu kwake kutokana na kucheza timu mbili ngumu tofauti na zote kuwa katika...

  2. Matokeo ya Azam yamliza Saadun

    KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Nassor Saadun amekiri licha ya ubora wake binafsi, lakini kama timu wameshindwa kufikia malengo waliyojiwekea msimu huu na kuondolewa mapema katika mbio za ubingwa wa...

  3. PRIME Yanga kuna kazi nzito, saba kufumua kikosi 2025/26

    YANGA inafanya mambo yake ya usajili kimyakimya kwa ajili ya msimu ujao, hiyo ni baada ya kujihakikishia mapema tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na kwa sasa kuongoza msimamo wa...

    YANGA Pict
  4. Minziro: Tuna dakika 360 ngumu

    KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Minziro amesema hatma ya timu hiyo ipo mikononi mwa mechi nne ambazo ni sawa na dakika 360 za kufungia msimu ili kujihakikishia kubaki Ligi Kuu Bara msimu ujao na...

    MINZIRO Pict
  5. Rais Samia awaahidi Simba Sh30 milioni kila bao fainali CAFCC

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, ametoa ahadi ya Sh30 milioni kwa nyota wa Simba kwenye kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya fainali.

  6. Kocha JKT ataka rekodi mpya Isamuhyo

    LICHA ya Simba kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya miaka 32 tangu ilipofanya hivyo kwa kucheza fainali ya Kombe la CAF 1993, lakini hilo wala halijamtisha Kocha Mkuu wa JKT...

    JKT Pict
  7. PRIME Mechi nne za uamuzi mgumu Yanga

    YANGA inasikilizia mechi nne zilizobaki za Ligi Kuu Bara kufanya uamuzi mgumu ndani ya benchi lake la ufundi.

  8. Kipagwile ana deni la dakika 270

    WINGA wa Dodoma Jiji, Idd Kipagwile baada ya kutikisa nyavu mara sita na kutoa asisti nne Ligi Kuu Bara msimu huu, akihusika na mabao 10 kati ya 30 yaliyofungwa na timu hiyo, amesema bado ana...

  9. Raheem:  Kibu, Sillah... ni kazi kuwakaba

    Siyo maarufu sana, lakini ubora wake msimu huu umemfanya apate namba na zaidi ni kuzivutia klabu mbalimbali zinazotamani kuinasa saini yake.

  10. Kocha afichua jambo KenGold

    BAADA ya KenGold kushuka Ligi Kuu ikiwa na mechi tatu mkononi, kocha Omary Kapilima ametaja mambo mawili yaliyowaangusha, huku akisisitiza wanajipanga kurudi msimu ujao.

    KAPILIMA Pict
Previous

Page 4 of 187

Next