PRIME GOAL MACHINES: Kwa mastraika hawa, Sowah wenzake kazi wanayo! MSIMU mpya wa mashindano wa 2025-26 umeanza kunoga, huku mashabiki wakiwa na hamu ya kutaka kuona nyota wapya waliosajiliwa na klabu za Ligi Kuu Bara watafanya maajabu gani.
Spurs yaweka mkakati kwa Harry Kane TOTTENHAM Hotspur inadaiwa kuwa katika mipango mikubwa ya kumsajili straika wa Bayern Munich, Harry Kane dirisha lijalo la majira ya kiangazi mwakani.
Sheria mpya ya mishahara kupingwa Ligi ya EPL SHERIA mpya ya ukomo wa mishahara kwa Ligi Kuu England inayopendekezwa ambayo baadhi ya timu haiitaki kabisa, inaweza kuanza kutumika mapema mwezi ujao.
Tuchel kumweka kikao Jude Bellingham KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel ameweka wazi kwamba atakaa kikao na staa wa Real Madrid, Jude Bellingham kujadili mustakabali wake katika kikosi cha timu hiyo.
Ishu ya Uwanja Man United iko hivi MANCHESTER United ina matumaini ya kupata ardhi zaidi ili kuharakisha mpango wao wa kujenga uwanja mpya wa kisasa utakaokuwa na uwezo wa kuingiza watu 100,000.
Kocha Chelsea alimwa mamilioni KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amefungiwa kwa mchezo mmoja kuiongoza timu yake uwanjani na kutozwa faini ya Pauni 8,000 (zaidi ya Sh25 milioni) na Shirikisho la Soka la England kutoka na kosa...
Real Madrid mambo ni moto, Mbappe, Mendy wako poa Real Madrid wamepokea habari njema kuelekea mechi yao ya LaLiga dhidi ya Getafe itakayopigwa Jumapili, Oktoba 19, 2025 baada ya kuripotiwa kuwa mshambuliaji Kylian Mbappe atakuwa tayari kucheza.
Fjortoft amkingia kifua Wirtz, awashangaa wanaomlaumu Aliyekuwa mshambuliaji wa Norway, Jan Aage Fjortoft, amemtetea kiungo wa Liverpool, Florian Wirtz, akisema mchezaji huyo wa Kijerumani analaumiwa kwa kila jambo linalokwenda vibaya ndani ya...