Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8759 results for Mwandishi :

  1. Iraq yafuzu Kombe la Dunia baada ya miaka 40

    Iraq imekuwa timu ya mwisho kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika huko Marekani, Mexico na Canada baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 na dhidi ya Bolivia katika Uwanja wa...

  2. Dar City ilivyopunguzwa kasi Sauzi

    Timu ya kikapu ya Al Ahly Ly kutoka Libya juzi usiku iliipunguza kasi Dar City kwa kuifunga pointi 118-97 katika Ligi ya Kikapu Afrika (BAL), mchezo uliofanyika katika uwanja wa ndani wa Sun Bet...

  3. Maguire akalia kuti kavu, asubiri hukumu

    BEKI wa Manchester United, Harry Maguire ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Chama cha Soka cha England kujibu mashtaka kutokana na jinsi alivyoonyesha utovu wa nidhamu baada ya kutolewa nje kwa...

    MAGUERE Pict
  4. Italia yasikilizia ofa ya mezani Kombe la Dunia

    TIMU ya taifa ya Italia ina matumaini madogo ya kushiriki fainali za Kombe la Dunia, mwaka huu, licha ya kutolewa kwa aibu na Bosnia katika mechi ya mchujo ya kuwania kufuzu, ambapo kwa sasa...

    ITALIA Pict
  5. Dabi yaua mmoja Peru

    KATIKA hali ya kushanga lililokuwa tukio la “kupeperusha bendera” ya Klabu ya Alianza Lima kabla ya mechi ya dabi ya Peru dhidi ya Universitario de Deportes lilimalizika kwa kifo cha angalau mtu...

  6. Mayweather, Pacquiao kuna utata

    PAMBANO kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao bado linatarajiwa kuwepo kama lilivyopangwa licha ya taarifa Mayweather amevunja mkataba wa pambano hilo.

    PAMBANO Pict
  7. Kocha Chelsea amjibu wakala wa Enzo

    KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior ametoa majibu juu ya kauli ya wakala wa Enzo Fernandez, Javier Pastore, aliyedai adhabu aliyopewa mchezaji huyo “si ya haki kabisa.”ni kijana mzuri sana. Kwa sasa...

    ENZO Pict
  8. Man United kuuza mastaa watano

    TAJIRI wa Manchester United, Jim Ratcliffe anataka kiasi cha Pauni 100 milioni kutokana na mauzo ya wachezaji dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    MAN UTD Pict
  9. Simba mambo magumu, Dabi ya Mzizima ikiisha bila mbabe

    Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam ndiko ulikopigwa mchezo wa dabi ya Mzizima iliozikutanisha Azam FC na Simba katika kampeni ya kusaka taji la Ubingwa wa Ligi Kuu Bara.

  10. Neymar kwenye rada ya Ligi Kuu Marekani

    WANASEMA kila mtu na bahati yake. Kuna kila dalili zinaonyesha supastaa wa Kibrazili, Neymar, anaweza kuwa anafikiria mabadiliko mapya katika maisha yake ya soka na safari hii akitarajiwa kutua...

    NEYMAR Pict
Previous

Page 278 of 876

Next