Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1656 results for Daudi Elibahati :

  1. Mserbia apewa masharti KenGold

    KenGold imefikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miezi sita kocha mpya raia wa Serbia, Vladislav Heric iliyomtambulisha jana Jumamosi, huku akipewa masharti ya kuhakikisha kikosi hicho chenye...

    KenGold Pict
  2. Kalambo aja kivingine Bara

    BAADA ya kipa Aaron Kalambo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na Coastal Union, nyota huyo ameweka wazi mojawapo ya malengo yake kipindi hiki cha miezi sita iliyobakia kumaliza msimu, ni kurejesha...

    Kalambo Pict
  3. Ingia toka dirisha  dogo la usajili Bara

    DIRISHA dogo la usajili Ligi Kuu Bara na michuano mingine ya ndani limefungwa juzi Januari 15 na tumeshuhudia klabu mbalimbali zikivuta silaha mpya kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi...

    Ingia Pict
  4. Tanzania ishindwe yenyewe tu CHAN 2025

    DROO ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024, itakayofanyia Agosti mwaka huu, imefanyika juzi huku Tanzania ikiangukia kundi 'B' na timu za Mauritania, Madagascar...

    CHAN Pict
  5. Azam FC yachomoa watano kikosini

    WAKATI dirisha dogo la usajili likifungwa usiku wa jana, timu ya Azam imeondoa nyota watano ndani ya kikosi hicho, huku watatu wakitolewa kwa mkopo na wawili wakipewa mkono wa kwaheri.

    Azam Pict
  6. PRIME Siri imefichuka, mabao Simba yana kitu

    KIKOSI cha Simba kimefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya juzi kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Bravos do Maquis ya Angola, huku kikiweka rekodi ya kipekee ambayo...

    Mabao Pict
  7. Cheche amrithi Kijuso Cosmopolitan

    MABINGWA wa zamani wa soka nchini, Cosmopolitan imefikia uamuzi wa kumpa mkataba wa miezi sita aliyekuwa kocha wa Azam FC, Idd Nassor ‘Cheche’, ikiwa ni wiki moja tu tangu wamtimue Mohamed Kijuso...

    Cheche Pict
  8. Mtambuka aamsha morali Songea United

    KLABU ya Songea United ya mkoani Ruvuma imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa TMA ya jijini Arusha, Abiud Mtambuka kwa mkataba wa miezi sita, huku kocha wa kikosi hicho, Meja Mstaafu,...

    Mtambuka Pict
  9. Zubery Katwila avuta mashine tatu Bigman

    KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila ameanza kukisuka kikosi hicho baada ya kuzinasa saini za aliyekuwa beki wa kulia wa African Sports, Halfan Mbaruku, kiungo, Abubakar Hamis na mshambuliaji...

    Katwila Pict
  10. Yanga yaiua Al Hilal, matumaini yabakia Kwa Mkapa CAFCL

    Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kushinda bao 1-0, dhidi ya Al Hilal, katika mchezo...

Previous

Page 26 of 166

Next