KMKM yapigwa tena, yatema ubingwa ZPL MAAFANDE wa KMKM, imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika mechi za lala za Ligi Kuu Zanziba (ZPL) na kuutema rasmi ubingwa baada ya jioni ya leo kufungwa mabao 2-1 na KVZ.
Chan 24 kupigwa Tanzania Februari mwakani SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) jana limezihakikishia Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa fainali za Chan 2024 huku likitaja tarehe ambayo mashindano hayo yataanza.
Benja FC wababe wa Tulia Trust Uyole Cup 2024 TIMU ya soka ya Benja FC imetwaa ubingwa wa michuano ya Tulia Trust Uyole Cup 2024 iliyofikia tamati leo kwenye Uwanja wa Mwawinji, uliopo Uyole Mbeya Mjini.
Tabora United yamruka Yusuph Kitumbo Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuipiga mkwara Tabora United kuwa itaichukulia hatua ya kinidhamu kwa kuendelea kufanya kazi na Yusuph Kitumbo aliyefungiwa maisha...
Ukuta waiponza Simba Queens kufuzu Ligi ya Mabingwa Africa MAKOSA ya safu ya ulinzi ya Simba Queens jana yalichangia kwa kiasi kikubwa ipoteze mchezo wa nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kwa wanawake dhidi ya Police Bullets ya Kenya...
Tanzania yapangwa kundi la kifo Afcon ufukweni Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni imepangwa katika kundi la vigogo kwenye fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika mwezi ujao huko Misri.
Baraza la wadhamini Yanga matatani, Mwanasheria afunguka Yanga imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Stars hairudii makosa Dar TAIFA Stars ina uhakika wa kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza kwenye adhi ya nyumbani (CHAN) 2025, sambamba na Kenya na Uganda, lakini hiyo haiwafanyi...
Amorim: Man u tusajili? No Mabingwa hao mara 20 wa England walikosa wachezaji 12 wa kikosi cha kwanza katika mechi dhidi ya Tottenham Hotspur wikiendi iliyopita kutokana na kuwa majeruhi na wengine kuwa wagonjwa na kwenye...
Van Nistelrooy washamchoka MASHABIKI wa Leicester City wameanza kumchoka kocha Ruud van Nistelrooy wakimtaka aondoke haraka baada ya kuona matokeo ya hovyo hayaonekani kukoma kwenye kikosi hicho.