Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

688 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Simba yafuata fundi Uganda

    KIKOSI cha Simba kipo mjini Bukoba, mkoani Kagera kumalizana na wenyeji wao, Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini unaambiwa mabosi wa klabu hiyo wanapiga hesabu kali ya kuimarisha...

    Simba Pict
  2. Straika Azam anukia Kagera Sugar

    Kagera Sugar ipo katika hatua za mwisho kumchukua mshambuliaji wa Azam FC, Adam Adam kwa mkopo.

    Azam Pict
  3. PRIME Yanga pamechangamka huko... Pacome, Yao kama utani

    YANGA jana ilikuwa uwanjani kumalizana na Mashujaa ya Kigoma katika Ligi Kuu Bara, lakini kuna jambo moja limefanyika kimya kimya ambalo kama taarifa hii itawafikia mashabiki wa klabu hiyo...

    Pacome Pict
  4. Medo awasilisha mashine nne

    KAGERA Sugar imeanza msako mapema katika harakati za kukiboresha kikosi chao ikisaka wachezaji wa nne waliotokana na ripoti ya kocha wao Melis Medo.

    Medo Pict
  5. Mashine sita zinatua Tabora United

    KATIKA kuimarisha zaidi kikosi chake, kocha mkuu wa Tabora United, Anicet Kiazmak ameagiza mashine sita kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ili kuongeza nguvu katika mzunguko wa pili wa Ligi...

    Tabora United Pict
  6. Pamba yambeba Kamara,wengine wanne

    MABOSI wa Pamba Jiji hawatanii, kwani baada ya kumtambulisha wachezaji wapya watatu, Deus Kaseke, Habib Kyombo na Hamad Majimengi, sasa wanajiandaa kuwaweka hadharani nyota watano wa kigeni...

  7. Kocha Azam amzuia Feisal

    AZAM FC jana jioni ilikuwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kumenyana na Tabora United katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku nyuma kocha wa kikosi hicho, Rachid Taoussi ametoa msimamo wake kwa...

    Fei Pict
  8. PRIME Fadlu ashtuka, aweka msimamo

    HUKO mtaani kwa sasa mashabiki wa Simba wanatambia mziki wa kikosi walichonacho, lakini kwa kocha Fadlu Davids hali ni tofauti kwani, ameshtukia jambo analoamini likifanyiwa kazi linaweza...

    Fadlu Pict
  9. PRIME UCHAMBUZI: Kwanini usajili wa Mwenda Yanga?

    KWA nini Yanga imemsajili Israel Patrick Mwenda? Wameona nini kwake? Usajili wake una maanisha nini na je ataweza kupindua meza baada ya kushindwa mbele ya Shomari Kapombe wakati alipokuwa Simba?

    Mwenda Pict
  10. Manula afichua siri nzito Simba akimtaja Camara

    NI suala la kawaida kwa binadamu yeyote aliye hai maisha yake kuwa na hali ya kupanda na kushuka, inaweza kukutokea kazini, masomoni, kwenye uhusiano au sehemu nyinginezo.

Previous

Page 25 of 69

Next