Chalamila amkubali Shalulile, akabidhiwa kadi ya uanachama Yanga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameibua shangwe kwenye mkutano mkuu wa Yanga kwa kukubali jina lake kubadilishwa huku pia akiomba kupewa rasmi kadi ya uanchama wa klabu hiyo...
Ronaldo, Georgina kufunga ndoa Madeira NYOTA Cristiano Ronaldo anatarajiwa kufunga ndoa na mchumba wake, Georgina Rodriguez, katika kisiwa cha Madeira, alikozaliwa na kukulia.
Mambo magumu FIFA, Infantino akalia kuti kavu! Katika siasa za mpira wa miguu, wiki moja inaweza kubadilisha kila kitu.
Chipukizi Gabriel apagawisha Man United CHIPUKIZI mwenye umri wa miaka 15, JJ Gabriel, ameandika historia kwa kucheza mechi yake ya kwanza katika kikosi cha wakubwa cha Manchester United wakati timu hiyo ilipoibuka na ushindi wa mabao...
Simba yatambulisha jezi ya miaka 90 KLABU ya Simba jana ilitambulisha jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, huku mzabuni wa jezi hizo Joseph Rwegasira akisema uzi huo umezingatia klabu hiyo kusherehekea miaka 90 tangu...
Wembanyama sasa kutamba na viatu vya Nike sokoni NYOTA wa kimataifa wa mpira wa kikapu kutoka Ufaransa, Victor Wembanyama ameandika historia nyingine kubwa katika maisha yake ya mchezo huo baada ya kufikia makubaliano ya mkataba mpya wa muda...
Inter sasa yatua kwa Jones INTER Milan ipo tayari kutoa Pauni 30 milioni kwa Curtis Jones, lakini Liverpool wanataka zaidi.
Kitambaa cha unahodha chazua mzozo Liverpool Wachezaji wa Liverpool, Curtis Jones na Dominik Szoboszlai, walioonekana wakizibana vikali uwanjani baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki ambao Liverpool iliifunga Wrexham bao 1-0 kwenye...