Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

24514 results for tanzania :

  1. Tanzania, Mali kriketi bato la historia

    TANZANIA inaikaribisha Mali katika mchezo wa kihistoria wa ufunguzi wa michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia za kriketi ya mizunguko 20 keshokutwa, Dar es Salaam.

  2. Madina, Wanyeche, OLomi kuwania ubingwa Afrika

    Madina Iddi wa Arusha ndiye kinara wa orodha ya wachezaji nyota waliochaguliwa kuunda timu ya taifa ya wanawake ya gofu itakayoshiriki mashindano ya ubingwa wa Afrika nchini Morocco mwisho wa mwaka.

  3. Mr Nice:  Muziki? Mi nachora balaa

    WENGI wa kizazi cha miaka ya 2000 wameishia kusikia tu jina Mr Nice lakini hawajui maisha yake ya muziki na nje ya kazi hiyo. Ni alama isiyofutika kwenye muziki Bongo Fleva kutokana na mchango...

  4. Ushindi dhidi ya Coastal wampa jeuri Zahera

    USHINDI wa kwanza ilioupata Namungo mbele ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, umemfanya kocha wa timu hiyo kutamba ameanza kupata mwanga baada ya awali kupoteza michezo mitatu...

  5. Mashujaa ni mapigo na mwendo tu Ligi Kuu Bara

    MASHUJAA wana kauli mbiu yao ya ‘Mapigo na Mwendo’ na hadi sasa Ligi Kuu Bara ikiwa raundi ya nne kikosi hicho kipo nafasi ya pili katika msimamo na mmoja wa makipa wa timu hiyo, Erick Johora...

  6. Gadiel aanza kazi Chippa United, Majogoro kicheko

    KIUNGO mkabaji wa Chippa United, Baraka Majogoro amefurahishwa kucheza na Mtanzania mwenzake beki Gadiel Michael aliyejiunga na timu hiyo, akiamini kuna kitu kikubwa kitaongezeka.

  7. Marefa hawa kuamua mechi za Yanga, Simba kimataifa

    Marefa kutoka Guinea na Mauritania ndio wamepangwa kuchezesha mechi za nyumbani za wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga katika mechi zao za marudiano za raundi ya pili ya mashindano ya...

  8. Salum Chuku kuikosa Fountain Gate

    WAKATI kikosi cha Tabora United kikianza maandalizi ya kuiwinda Fountain Gate, inatarajia kuikosa huduma ya nyota wake, Salum Chuku.

  9. Kipa CBE bado anamuwaza Dube

    MASHABIKI wa Yanga bado wanasubiri kuona mabadiliko ya washambuliaji wao kuelekea mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kipa wa wapinzani wao hao bado anawawaza washambuliaji...

  10. Kocha Kagera Sugar afichua kinachowafelisha

    KITENDO cha Kagera Sugar kushindwa kupata hata bao moja katika dakika 360 ambazo ni sawa na mechi nne za Ligi Kuu Bara, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Paul Nkata kutaja mambo manne yaliyopo nyuma...

    Kagera Pict
Previous

Page 206 of 2452

Next