Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

24502 results for tanzania :

  1. PRIME Simba, Yanga bado dakika 270

    Kibarua walichonacho wakongwe hao kila mmoja ni katika kuwania pointi tisa zinazopatikana katika mechi tatu zijazo za Ligi Kuu Bara kabla ya kufika Oktoba 19 mwaka huu ambapo watakutana wenyewe...

    New Content Item (1)
  2. PRIME HISIA ZANGU: Mnyama alianza kama swala akamalizia kama Simba

    NA walimaliza kazi huku kila mtu akibaki na mdomo wazi. Kama ilivyo kawaida yao. Simba. Uwanja wa Mkapa ni wao. Ni katika mechi za kimataifa. Zipo jioni chache ambazo waliwahi kukosea, lakini hii...

  3. Micho: Simba hii inacheza na yeyote

    KOCHA wa zamani wa Yanga, Milutin ‘Micho’ Sredojevic, ameipongeza Simba kwa kiwango kizuri ilichokionyesha katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli huku...

  4. Makocha, Waamuzi  judo wanolewa kimataifa

    MAKOCHA na Waamuzi30 wa mchezo wa judo wameanza mafunzo ya kimataifa ya mchezo huo ya level one.

  5. Sheva tumaini jipya Mbuni FC

    KOCHA Mkuu wa Mbuni, Leonard Budeba amesema, licha ya kikosi hicho kufanya usajili bora kwa msimu huu ila moja ya nyota anayempa matumaini makubwa ya kufanya vizuri ni mshambuliaji, Miraji...

  6. FUENTES: Aziz KI sio wa mchezo mchezo

    ACHANA na mabao mawili aliyofunga huku akiuchunua kushangilia kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar wakati Yanga ikiing'oa kwa aibu CBE SA ya Ethiopia kwa jumla ya mabao 7-0, kuna...

  7. Shiza Kichuya awataja Chasambi, Balua

    WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema zama alizokuwa nazo za ubora kwa sasa zimeisha na anawaona Ladack Chasambi na Edwin Balua wanaokipiga Simba kuwa ndio wachezaji wazuri wanaoweza...

  8. Kelvin John bado kidogo Stars

    NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya Aalborg BK ya Denmark, Kelvin John amekingiwa kifua na wadau mbalimbali, huku wakihoji ni kwa nini haitwi timu ya taifa 'Taifa...

  9. Adebayor mambo freshi Singida Black Stars

    KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amesema kwa sasa nyota mpya wa kikosi hicho, Victorien Adebayor yupo tayari kuanza kuitumikia timu hiyo baada ya awali kumpa programu zake...

  10. Mnoga mdogo mdogo Uingereza

    BEKI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Salford City inayoshiriki Ligi Daraja la Pili England, Haji Mnoga anakiwasha kwenye klabu yake hiyo mpya na hadi sasa aimeichezea mechi nne.

Previous

Page 199 of 2451

Next