Evra amtaka Suarez wapigane LEJENDI wa Manchester United, Patrice Evra, yupo kwenye mchakato wa kufanya mabadiliko ya kushangaza kwa kuwa mpiganaji wa MMA na anataka kucheza pambano moja dhidi ya Luis Suarez.
Man City ikishinda kesi, klabu za EPL imekula kwao KESI ya kisheria kati ya Manchester City na mamlaka zinazosimamia Ligi Kuu England huenda ikaibua mapya na kuzigharibu klabu zinazoshiriki Ligi Kuu England kwa kutakiwa kuilipa fidia miamba hiyo...
Arsenal kuzipiku Man United, Chelsea INAELEZWA Arsenal watakuwa na nafasi ya kutumia pesa nyingi zaidi kuliko Manchester United na Chelsea kutokana na faida kubwa ya kufika kwao nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Rashford awapiga kibega PSG chap Staa, Marcus Rashford ameripotiwa atatupilia mbali ofa ya kwenda kujiunga na Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu ili aendelee kubaki zake Manchester United.
Mbinu zaibeba Simba ugenini SIMBA imemaliza salama dakika 90 za kwanza za mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho, huku shukrani zikienda kwa mbinu alizozitumia kocha Fadlu Davids za timu hiyo kufunguka mwanzo...
Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha...
Phillipe Kinzumbi aibua vita mpya YULE winga Phillipe Kinzumbi amekuwa akiwaniwa na Yanga kabla ya dili kukwama, ameibua mapya kule DR Congo akikaribia kuziingiza katika mgogoro Raja Athletic ya Morocco dhidi ya klabu yake ya TP...
Camara aanza na jezi ya Manula Kwa Mkapa KOCHA Miguel Gamondi ameanza na kikosi chenye sura tatu mpya tofauti, huku kocha wa Simba Fadlu Davids akiwa na nyota sita kati ya 13 waliosajiliwa hivi karibuni, lakini sapraizi ni kipa Moussa...
Gor Mahia yapindua meza, sasa uso kwa uso na Al Ahly MABINGWA wa soka wa Kenya, Gor Mahia wamefanya kile ambacho mashabiki walikitarajia baada ya kuifumua Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini kwa mabao 5-1 na kusonga mbele katika michuano ya Ligi ya...
Sven-Goran Eriksson afariki dunia siku sita baada ya kuaga Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya England na Mancheter City Sven-Goran Eriksson, amefariki dunia akiwa na miaka 76.