Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

24514 results for tanzania :

  1. Stars kuivaa Sudan kimkakati Dar

    KIKOSI cha Taifa Stars kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya kuwania fainali za michuano ya Mabingwa wa Afrika (CHAN) dhidi ya Sudan, huku yakitengenezwa mazingira ya kuwamaliza...

  2. Singida BS, Yanga ilibeba hadhi ya mechi ya ubingwa

    WATETEZI wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea kileleni mwa msimamo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 mbele ya Singida Black Stars, ila moja ya jambo la kufurahisha ni jinsi wachezaji wote...

  3. EXCLUSIVE: Maskini Alphonce Modest, ukimuona alivyo utatokwa chozi

    HUJAFA hujaumbika. Ndivyo unavyoweza kusema kwa hali alivyonayo beki wa zamani wa kushoto wa kimataifa wa Tanzania aliyewahi kutamba na timu za Pamba, Simba, Yanga, Mtibwa Sugar na Taifa Stars.

  4. PRIME Mpo? Hivi ndio Feisal anavyopenya Simba

    FEISAL Salum maarufu kama Fei Toto ni miongoni mwa wachezaji bora wa kiungo katika soka hapa nchini.

  5. TAARIFA KWA UMMA

    Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu...

  6. AbalKassim apotezea ushindi wa TZ Prisons

    FOUNTAIN Gate juzi ilipoteza mechi ugenini mbele ya Tanzania Prisons iliyowanyoa mabao 3-2 kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya, lakini kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Abalkassim...

  7. Pamba Jiji yaingia na mambo mawili kwa Yanga

    KOCHA Msaidizi wa Pamba Jiji, Henry Mkanwa, ameyataja mambo mawili ambayo wataingia nayo kesho Alhamisi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga.

  8. Mkufunzi IJF awapa darasa makocha, waamuzi wa Judo

    MKUFUNZI wa Shirikisho la Judo la Kimataifa (IJF), Erdan Dogan amewataka makocha na waamuzi wa mchezo huo nchini kuona umuhimu wa kufundisha timu za vijana.

  9. Yanga yaifuata JKT fainali ikiichapa Simba Queens

    YANGA Princess imetinga fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi Kuu ya Wanawake jioni ya leo Jumatano baada ya kuifunga Simba kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mechi iliyoshuhudiwa dakika 90...

  10. Wema Sepetu atimiza ahadi, akisherehekea miaka 34

    JUZI September 28, ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa msanii maarufu nchini, Wema Sepetu huku akitimiza ahadi yake aliyoitoa ya kutokufanya sherehe kubwa (party) kama alivyozoea miaka ya nyuma.

Previous

Page 191 of 2452

Next