Riadha Pwani yapata viongozi wapya CHAMA cha Riadha Mkoa wa Pwani kimepata viongozi wapya watakaokiongoza kwa miaka minne, akiwamo Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Imani Makongoro.
Kinda Mtanzania anakiwasha Mali WAKATI Golikipa wa Yanga na timu ya taifa ya Mali, Djigui Diarra akiwa tegemezi kwenye kikosi cha wananchi, Kinda la Tanzania, James Octavian anakiwasha kwenye akademi ya ABM Foot.
Washiriki Guru Nanak wamuenzi Pano WASHIRIKI wa mbio za magari ya Guru Nanak, wamemuenzi dereva Pano Calavria, aliyefariki dunia hivi karibuni, kutokana na jitihada zake za kuutangaza mchezo huo nchini na kuwa kivutio cha madereva...
Chamungu ajitafuta upya Songea United MSHAMBULIAJI wa Songea United, Andrew Chamungu amesema msimu huu umekuwa ni mgumu kwake kutokana na kutopata nafasi ya kucheza mara kwa mara ndani ya kikosi hicho, ingawa hajakata tamaa na...
Taifa Stars tiketi ipo Kwa Mkapa TIKETI ya Tanzania kwenda fainali za Afcon 2025 ipo Kwa Mkapa. Ndio, ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi Ethiopia, uliiweka Tanzania pazuri kabla ya Guinea kupata ushindi nyumbani...
Singano anakiwasha Mexico KLABU ya FC Juarez imetoa takwimu za nyota wa Tanzania, Julietha Singano kuwa mchezaji aliyepora mipira mingi zaidi Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico.
Ushindi waamsha morali ‘Chama la Wana’ KOCHA Mkuu wa Stand United, ‘Chama la Wana’, Meja Mstaafu, Abdul Mingange amesema ushindi wa mabao 2-1, ilioupata timu hiyo dhidi ya African Sports kwenye Uwanja wa kituo cha TFF Mnyanjani Tanga,...
Mtanzania arudi Bongo STRAIKA wa zamani wa Fleetwoods United FC inayoshiriki Ligi ya Daraja la Pili UAE, Mtanzania Mgaya Ally amerudi Tanzania kucheza Ligi Kuu ili kupata dili la Uhispania.
Guinea yaiweka njia panda Stars kufuzu Afcon 2025 Ushindi wa bao 1-0 wa Guinea dhidi ya DR Congo umeweka kundi H la kufuzu kwa AFCON 2025 kwenye hatua ya kufa au kupona, hasa kwa Taifa Stars. Kwa sasa, nafasi ya Stars kufuzu inategemea mchezo wa...
Stars yabeba pointi tatu kwa Ethiopia, bado kibarua kwa Guinea MABAO mawili ya Simon Msuva na Feisal Salum katika kipindi cha kwanza yameipa Taifa Stars ushindi wa 2-0 dhidi ya Ethiopia, mchezo uliochezwa leo Novemba 16, 2024 kwenye Uwanja wa Pentecost...