Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

753 results for Nevumba Abubakar :

  1. Fountain Gate Princess inataka mechi tano

    FOUNTAIN Gate Princess iliyopo nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu imesema kwa iliko sasa, inahitaji kushinda mechi tano tu ili kujihakikishia kuwa katika nafasi nne za juu.

    FGP Pict
  2. Gomez aletewa mtu Wydad AC

    WYDAD AC inaripotiwa kutaka kumsajili mshambuliaji wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini, Relebohile Mofokeng nafasi anayocheza pia Mtanzania Selemani Mwalimu 'Gomez' aliyetambulishwa mwezi...

    Gomez Pict
  3. Majogoro kutimkia Orlando Pirates

    KIUNGO wa Chippa United, Mtanzania Baraka Majogoro inaelezwa hayupo kwenye kikosi hicho kwa wiki ya tatu sasa, huku taarifa zikieleza yupo kwenye hatua za mwisho kujiunga na Orlando Pirates ya...

    Majogoro Pict
  4. Kocha Ali aahidi furaha Mashujaa Queens

    KOCHA wa Mashujaa Queens, Ali Ali amesema amepambana kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa sawa kisaikolojia baada ya vichapo viwili mfululizo kuwatoa mchezoni.

    Mashujaa Q Pict
  5. Sichone aelezea ujumbe kwenye jezi

    MSHAMBULIAJI Kinda wa Trident FC ya Zambia, Mourice Sichone amesema ujumbe aliouchapisha kwenye jezi yake unamlenga mama yake mzazi ambaye yuko hospitali akiuguza majeraha ya ajali aliyopata wiki...

    Sichone Pict
  6. PRIME Mambo matatu yanamkwamisha Chama Yanga

    KWENYE maisha ya soka ni kawaida kuona wachezaji wengi waliokuwa na viwango bora lakini baada ya kuhamia timu nyingine ubora wao ukapungua.

    CHAMA Pict
  7. Mambo matatu yaliyoibeba Twiga Stars WAFCON

    TIMU ya Taifa ‘Twiga Stars’ imevuka raundi ya pili ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) mwakani, nchini Morocco baada ya sare ya 1-1 dhidia ya Guinea ya Ikweta.

  8. Twiga Stars ni jasho dakika 90

    TIMU ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ kesho itashuka uwanjani ugenini dhidi ya Equatorial Guinea, katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026...

    TWIGA Pict
  9. PRIME Joshua Mutale, Simba kama sinema

    MAISHA yanakwenda kwa kasi na mambo yanabadilika kila wakati leo hii stori ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Joshua Mutale imezima ghafla.

    MUTALE Pict
  10. Waziri Jr amtaja Simon Msuva dili la Iraq

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji aliyetambulishwa hivi karibuni na klabu ya Al Mina'a ya Iraq amesema Simon Msuva ana mchango mkubwa kutua katika timu hiyo.

    Waziri Pict
Previous

Page 19 of 76

Next