Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Gomez apagawa, ajipanga Wydad AC

    NYOTA Mtanzania aliyetambulishwa na Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ amesema amefarijika kutimiza ndoto ya kucheza soka la kulipwa na sasa anajipanga ili kufanya vizuri akiwa...

    Gomez Pict
  2. PRIME Chasambi akingiwa kifua

    MAKOCHA na wachezaji wa zamani wamemkingia kifua winga wa Simba, Ladaki Chasambi kwa kosa lililotokea juzi wakiliomba benchi la ufundi kuzungumza naye na kuendelea kumpa nafasi kucheza kwa sababu...

    Chasambi Pict
  3. PRIME Job awatega mabosi Yanga

    KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujiandaa na mchezo utakaopigwa keshokutwa dhidi ya JKT Tanzania huku, nahodha msaidizi, Dickson Job akiwatega mabosi wake kutokana na kuanza kuhesabu siku kabla ya...

    Job Pict
  4. Ushindi wampa jeuri Minziro

    BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ugenini, kocha mkuu wa Pamba, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema ushindi na bonasi waliyoipata wachezaji ni chachu ya kuongeza ushindani...

    Minziro Pict
  5. Coastal Union, JKT TZ kazi ipo Arachuga

    UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa kupigwa mechi mbili za kukamilisha raundi ya 17, huku kazi kubwa ikiwa jijini Arusha na JKT Tanzania itakakuwa wageni wa Wagosi wa Kaya, Coastal...

    Arachuga Pict
  6. Kipigo chamzindua Mgunda

    KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Namungo kutoka kwa Tabora United, kimemuamsha Kocha Juma Mgunda aliyesema ameona mwanga ambao akirekebisha kidogo tu mambo yatakuwa matamu kwa Wauaji hao wa Kusini.

    Mgunda Pict
  7. Abal Kassim: Mudathir akili mingi, Maxime bab’kubwa

    UKITAJA nyota sita waliocheza timu zaidi ya tano Ligi Kuu Bara na hawadumu kwa muda mrefu ndani ya timu hizo huwezi kusita kutaja jina la kiungo Abal Kassim ambaye sasa anakipiga Pamba Jiji.

  8. Siku moja yampa jeuri Minziro

    KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’ amesema kusogezwa mbele siku moja kwa mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji kumempa nafasi ya kuendelea kuijenga timu kisaikolojia baada ya kukamilisha...

    Minziro Pict
  9. Simon Msuva atia neno usajili wa Gomes

    WINGA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Iraq, Saimon Msuva amezungumzia usajili wa mshambuliaji wa Singida Black Stars aliyekuwa akicheza kwa mkopo Fountain Gate, Seleman Mwalimu...

    Simon Pict
  10. PRIME Cheki Selemani Mwalimu alivyovunja rekodi ya Msuva Morocco

    Gomez mwenye mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu akizidiwa mawili pekee na Elvis Rupia wa Singida Black Stars aliyefunga manane akiwa kinara, amesajiliwa na Wydad kwa ada ya uhamisho ya...

    New Content Item (1)
Previous

Page 18 of 188

Next