Omar Kaya, Msita waula Singida BS KATIBU wa zamani wa Yanga na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Namungo, Omar Kaya sambamba na Yohana Msita wameula baada ya kuteuliwa katika nafasi mbili tofauti ndani ya klabu ya Singida Black Stars.
Aziz KI aingia anga za MO Salah, Mane KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwenye tuzo za African Golden Awards akishindana na nyota kibao wa Afrika wakiwamo Mohamed Salah wa Liverpool na...
Haya yatampaisha zaidi Abigail, kuingia anga za Tyla KIPAJI huwa akifichiki. Akiwa ndio kwanza ana miaka mitatu kwenye sanaa ya muziki, lakini nyota yake imekua kwa kasi na kuwaburuza baadhi ya wasanii walioanza kitambo kwenye game ya Bongo Fleva.
Simba Queens yataka rekodi tatu bongo KOCHA wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema anatamani kuandika rekodi tatu kwenye ligi ya Tanzania ambayo ndio msimu wake wa kwanza kuitumikia.
Mikataba inavyowapa mamilioni wabongo KUMEKUWA na wimbi la wachezaji wa Bongo wanaocheza soka la kulipwa nchi mbalimbali kukutana na changamoto za kuvunjiwa mikataba ambayo sasa wanapambana na kupata haki zao.
Fountain Gate Princess shida ni washambuliaji KOCHA wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema mashindano ya Samia Women Cup yaliyofanyika mkoani Arusha yamemuonyesha mwanga wa eneo lipi anapaswa kulifanyia kazi kwa haraka.
Ceasiaa Queens yalia na ratiba WPL KOCHA wa Ceasiaa, Ezekiel Chobanka amesema mvurugano wa ratiba umeathiri kiasi kikubwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mlandizi Queens.
Yanga Princess imejipata UNAWEZA kusema Yanga Princess chini ya kocha Edna Lena ‘ Mourinho’ imeanza kujipata kutokana na muendelezo na ubora wanaouonyesha msimu huu.
Kariakoo Dabi yaahirishwa, kupangiwa tarehe nyingine KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Bara (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga na Simba uliopangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025, saa 1:15 usiku...
Kapo ya Aziz KI, Hamisa Mobeto yawania tuzo SIKU chache baada ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na mwanamitindo, Hamisa Mobetto kapo yao imewekwa kuwania tuzo.