Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. PRIME Fadlu afanya maamuzi magumu Simba

    KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya wachezaji kuwa katika fomu nzuri ya ushindani, lakini amegoma kuwapa mapumziko wakati mchezo wao na Dodoma Jiji ukiwa umeahirishwa kwa kuhofia...

    Fadlu Pict
  2. Dar Swim kushiriki mashindano ya taifa Kenya

    TIMU ya kuogelea ya Dar Swim Club inatarajia kushiriki mashindano ya taifa ya Kenya 'Kenya Aquatics Long Cource Championship' yanayotarajiwa kuanza Jumamosi, Februari 15 hadi 16.

    Swim Pict
  3. Ouma alia na washambuliaji Singida

    LICHA ya kupata ushindi wa kwanza katika mechi nne zilizopita za Ligi Bara na kuvunja pia rekodi ya maafande wa JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja Jen. Isamuhyo, bado kaimu kocha mkuu wa Singida...

    Ouma Pict
  4. Mbabe wa Diarra azidi kutupia, Makambo karudi kambani

    BAO la dakika za jioni lililopachikwa kwa kichwa na Harittie Makambo, limeipa pointi moja Tabora United nyumbani ilipoikaribisha KenGold kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora.

    Bwenzi Pict
  5. Mechi 4 za kuheshimiana Ligi Kuu

    KUNA mechi nne za kuchezesha karata ngumu. Ni leo jioni majibu yote yatapatikana. Mjadala mkubwa zaidi ukiwa kwa Yanga na KMC pale Mwenge, Dar es Salaam. Rekodi zinaonyesha kuwa mbaya kwa KMC...

    Ligi Pict
  6. PRIME Tatizo la Yanga liko hapa

    UBAO unaweza kupinduka. Namba za mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga zinashuka siku hadi siku tofauti na Simba inayoimarika kulinganisha na misimu mitatu nyuma.

    Yanga Pict
  7. PRIME Aucho: Injini ya Yanga inayozeeka na utamu wake

    DAKTARI wa mpira. Ndiyo jina maarufu kwake kutokana na umahiri wake katika kuituliza timu licha ya umri kumtupa mkono.

    Aucho Pict
  8. PRIME Ghafla tu, Kagoma kapindua meza Simba!

    UPEPO umebadilika! Ndio, kiungo Yusuf Kagoma amejipatia umaarufu baada ya wababe wa Kariakoo, Simba na Yanga kumnyatia na mmoja kati yao kuwa na kisu kikali na kuinasa saini yake akitokea Singida...

  9. Gilbert: Cosmopolitan inahitaji morali tu

    KIUNGO wa Cosmopolitan, Gilbert Boniface amesema kikosi hicho kwa sasa kinapitia kipindi kigumu kutokana na kutokuwa na mwenendo mzuri katika Ligi ya Championship, licha ya kukiri wachezaji...

    Cosmo Pict
  10. PRIME Hamdi amtisha Fadlu, awapa neno mastaa Yanga mtihani uko hapa!

    KITENDO cha Kocha Miloud Hamdi kukabidhiwa kikosi cha Yanga huku zikipita takribani siku nne pekee, mwenyewe ametoa kauli inayoweza kuwa ni kama tishio kwa watani zao, Simba wanaonolewa na...

Previous

Page 17 of 188

Next